Malasusa: Viongozi tusikilize na kunyenyekea tunaowaongoza

Mwanga. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa, amesema kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya, alikuwa kiongozi mwenye kipawa cha kusikiliza na unyenyekevu katika uongozi wake, hivyo amewataka viongozi kuiga mfano wake. Malasusa amesema hayo leo Mei 13, 2025 wakati akihubiri katika ibada ya…

Read More

SERIKALI INAITHAMINI SEKTA BINAFSI – WAZIRI MKUU

……………   WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazofanya kazi kwa karibu sana na sekta binafsi ili kukuza uchumi na kuleta maendeleo kwa wananchi wake.   Ametoa kauli hiyo jana jioni (Jumatatu, Mei 12, 2025) wakati akishiriki mjadala uliojumuisha mawaziri wakuu wanne kutoka Tanzania, Ivory Coast, Guinea na Cameroun katika moja…

Read More

Mnyika: Chadema hatuna timu Mbowe wala timu Lissu

Mwanza. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema makundi yote yaliyoundwa kuunga mkono wagombea wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho yalivunjwa baada ya mchakato wa uchaguzi kukamilika. Akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Igoma jijini Mwanza jana, Mei 12, 2025, Mnyika amekana chama hicho kugawanyika katika makundi mawili,…

Read More

Rais Samia awasili Usangi kuongoza mazishi ya Msuya

Mwanga. Rais Samia Suluhu Hassan amewasili katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Usangi Kivindu kushiriki ibada ya mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya. Msuya ambaye alizaliwa mwaka 1931 katika Kijiji cha Chomvu, Usangi, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro alifariki dunia Mei 7, 2025…

Read More

Fadlu ageuka mbogo Simba, acharukia mastaa

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids amegeuka mbogo kwa kuwacharukia mastaa wa timu hiyo kutokana na matokeo ya mechi nne za viporo vya Ligi Kuu Bara, akiwakumbusha pia kazi iliyopo mbele yao katika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco wikiendi hii ugenini. Simba ilicheza na kushinda mechi hizo za viporo…

Read More

Yanga yarusha kete kwa kocha Ahly

YANGA inajiandaa kushuka uwanjani leo jioni kuvaana na Namungo ya Lindi, ikiwa ni mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Bara iliyoingia raundi ya 27, lakini ndani ya ofisi za mabosi wa klabu hiyo kuna mchakato wa maana unaendelea juu ya kusaka kocha mpya ajaye wakirusha kesho kwa kocha Mswisi. Yanga imefanya mazungumzo ya awali na…

Read More

Ukijichanganya kwa Simba umeumia! | Mwanaspoti

SIMBA imefunika katika Ligi Kuu Bara. Licha ya kuwa ndio timu iliyovuna pointi nyingi nyumbani kupitia mechi 13 ilizocheza ikishinda 10 na kutoka sare mbili, ikipoteza moja, lakini kuna rekodi iliyoweka hadi sasa katika Ligi hiyo ambayo kama timu pinzani hazitakuwa makini zitazidi kuumia. Rekodi hiyo ni ile ya kikosi hicho kuwa ndio wakali wa…

Read More

Ally Mayay apendekeza suluhu sakata la Dabi

Gwiji wa zamani wa Yanga, Taifa Stars na mchambuzi wa soka nchini, Ally Mayay Tembele, amesema alitarajia sakata la kuahirishwa kwa Dabi ya Kariakoo iliyopangwa kuchezwa Machi 8, 2025, lingetatuliwa mapema kutokana na majukumu ya kimataifa yanayolikabili taifa. Mayay amebainisha kuwa Tanzania ni mwenyeji wa michuano ya CHAN 2025, hivyo ni muhimu suala la dabi…

Read More

Wizara ya Elimu yataja vipaumbele vitano bajeti 2025-2026

Na Janeth Raphael MichuziTv – BUNGENI Dodoma KATIKA mwaka wa fedha 2025/26, Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imepanga kutekeleza vipaumbele vitano ikiwemo kuendelea na utekelezaji wa sera na mitaala, mapitio ya sheria na kuandaa miongozo ya utoaji wa elimu na mafunzo. Vipaumbele hivyo vimetajwa leo Mei 12,2025 bungeni na Waziri wa Elimu,Sayansi…

Read More