Malasusa: Viongozi tusikilize na kunyenyekea tunaowaongoza
Mwanga. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa, amesema kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais mstaafu, Cleopa Msuya, alikuwa kiongozi mwenye kipawa cha kusikiliza na unyenyekevu katika uongozi wake, hivyo amewataka viongozi kuiga mfano wake. Malasusa amesema hayo leo Mei 13, 2025 wakati akihubiri katika ibada ya…