Watoto 150,000 kupimwa selimundu Mwanza

Mwanza. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na taasisi ya Baylor Tanzania imepanga kuwapima jumla ya watoto 150,000 wenye umri chini ya miaka mitano viashiria vya selimundu mkoani Mwanza ili kuwagundua mapema na kuwaanzishia matibabu na chanjo, kwa lengo la kukabiliana na ugonjwa huo uliokuwa tishio mkoani humo.Upimaji huo utafanyika kwa muda wa miaka mitatu kuanzia…

Read More

Ndejembi aja kivingine kumaliza migogoro ya ardhi nchini

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Sh164.1 bilioni kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka 2025/26, fedha ambazo zitaelekezwa kwenye maeneo saba ya vipaumbele, yakiwamo mapambano dhidi ya migogoro ya ardhi nchini. Waziri wa wizara hiyo, Deo Ndejembi, leo Alhamisi Mei 29, 2025, amewasilisha bajeti hiyo bungeni jijini Dodoma. Awali, ilipangwa kujadiliwa…

Read More

Chaumma sasa kuzindua ziara ya ‘chopa’ Juni 3

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesogeza mbele uzinduzi wa mikutano yake ya siku 16 ya kujitambulisha na kupokea wanachama wapya kutoka Juni Mosi, 2025 hadi Juni 3, 2025 baada ya kukosa vibali vya kurusha ‘chopa’ na uwanja wa mkutano wa uzinduzi. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Mwanza leo Mei 29, 2025, Naibu…

Read More

Tujifunze kwa Kagere, Victor Wanyama

JANA kocha wa timu ya taifa Rwanda ‘Amavubi’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki mwezi ujao dhidi ya Algeria mwezi ujao ambapo alimjumuisha nyota wa Namungo, Meddie Kagere. Ni jambo lililotushtua kidogo hapa kijiweni kwa vile umri wa Kagere umesogea kwani mshambuliaji huyo ana umri wa miaka…

Read More

Stein, Dar City patachimbika BDL

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unaendelea tena leo kwenye Uwanja Donbosco Upanga wakati Stein Warriors na Dar City zitakaposhuka uwanjani kuonyeshana kazi katika mfululizo wa ligi hiyo inayozidi kushika kasi. Mchezo huo unaosubiriwa kwa hamu na wapenzi wengi wa kikapu utachezwa saa 2:00 usiku, huku Stein Warriors inayoongoza…

Read More

Chadema tukiingia Ikulu tutavunja ukuta wa Mirerani – Heche

Mirerani. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche, amesema endapo chama hicho kitashinda na kuingia Ikulu, kitabomoa ukuta unaozunguka mgodi ya madini ya Tanzanite uliopo katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, mkoani Manyara. Ukuta unaozunguka mgodi wa madini ya Tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani, wenye urefu wa kilomita 24.5, ulijengwa katika utawala wa…

Read More