Mwanza. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na taasisi ya Baylor Tanzania imepanga kuwapima jumla ya watoto 150,000 wenye umri chini ya miaka mitano viashiria vya
Month: May 2025

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Sh164.1 bilioni kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka 2025/26, fedha ambazo zitaelekezwa kwenye maeneo saba
JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Mhe. Dkt. Mustapher Siyani ametoa wito kwa Viongozi wa Umma

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesogeza mbele uzinduzi wa mikutano yake ya siku 16 ya kujitambulisha na kupokea wanachama wapya kutoka Juni Mosi,

*Wapendekeza maboresho Kanuni za Usalama, Afya na Utunzaji wa Mazingira pamoja na Sheria ya Baruti. Mwanza WAKAGUZI wa Migodi ya Madini na Baruti wametakiwa kufanya

JANA kocha wa timu ya taifa Rwanda ‘Amavubi’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki mwezi ujao dhidi

Arusha. Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Regina Alex aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa, baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mtoto wa jirani yake, Janeth Samson

Na Khadija Kalili, Michuzi TV Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Pwani katika kipindi cha Januari hadi Machi 2025 ilifanikiwa kuokoa

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unaendelea tena leo kwenye Uwanja Donbosco Upanga wakati Stein Warriors na Dar City

Mirerani. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche, amesema endapo chama hicho kitashinda na kuingia Ikulu, kitabomoa ukuta unaozunguka mgodi ya madini ya Tanzanite uliopo