Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 15
Habari

Watoto 150,000 kupimwa selimundu Mwanza

May 29, 2025 Admin

Mwanza. Wizara ya Afya kwa kushirikiana na taasisi ya Baylor Tanzania imepanga kuwapima jumla ya watoto 150,000 wenye umri chini ya miaka mitano viashiria vya

Read More
Habari

Ndejembi aja kivingine kumaliza migogoro ya ardhi nchini

May 29, 2025 Admin

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Sh164.1 bilioni kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka 2025/26, fedha ambazo zitaelekezwa kwenye maeneo saba

Read More
Habari

JAJI KIONGOZI ATOA WITO VIONGOZI KUACHA KUTOA MATAMKO KWA MASHAURI YALIYOPO MAHAKAMANI

May 29, 2025 Admin

JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama Mhe. Dkt. Mustapher Siyani ametoa wito kwa Viongozi wa Umma

Read More
Habari

Chaumma sasa kuzindua ziara ya ‘chopa’ Juni 3

May 29, 2025 Admin

Mwanza. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesogeza mbele uzinduzi wa mikutano yake ya siku 16 ya kujitambulisha na kupokea wanachama wapya kutoka Juni Mosi,

Read More
Habari

Fanyeni ukaguzi kwa weledi bila ya kumwonea mchimbaji yoyote – Mhandisi Kamando

May 29, 2025 Admin

*Wapendekeza maboresho Kanuni za Usalama, Afya na Utunzaji wa Mazingira pamoja na Sheria ya Baruti. Mwanza WAKAGUZI wa Migodi ya Madini na Baruti wametakiwa kufanya

Read More
Michezo

Tujifunze kwa Kagere, Victor Wanyama

May 29, 2025 Admin

JANA kocha wa timu ya taifa Rwanda ‘Amavubi’, Adel Amrouche alitangaza kikosi cha timu hiyo kwa ajili ya mechi mbili za kirafiki mwezi ujao dhidi

Read More
Habari

Aliyehukumiwa kwa kuua mtoto wa jirani yake, alivyohepa kitanzi

May 29, 2025 Admin

Arusha. Mahakama ya Rufaa imemuachia huru Regina Alex aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa, baada ya kutiwa hatiani kwa mauaji ya mtoto wa jirani yake, Janeth Samson

Read More
Habari

TAKUKURU PWANI YAOKOA ZAIDI YA MIL .300 ZILIZOPOTEA KUPITIA AKAUNTI FEKI YA KIJIJI CHA MSUFINI

May 29, 2025 Admin

Na Khadija Kalili, Michuzi TV Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU)  Mkoa wa Pwani katika kipindi cha Januari hadi Machi 2025 ilifanikiwa kuokoa

Read More
Michezo

Stein, Dar City patachimbika BDL

May 29, 2025 Admin

ULE uhondo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) unaendelea tena leo kwenye Uwanja Donbosco Upanga wakati Stein Warriors na Dar City

Read More
Habari

Chadema tukiingia Ikulu tutavunja ukuta wa Mirerani – Heche

May 29, 2025 Admin

Mirerani. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche, amesema endapo chama hicho kitashinda na kuingia Ikulu, kitabomoa ukuta unaozunguka mgodi ya madini ya Tanzanite uliopo

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 14 15 16 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.