Prisons yainyuka Coastal, yaiweka pabaya Kagera
Ushindi wa mabao 2-1 iliyopata Tanzania Prisons dhidi ya Coastal Union unaiweka katika presha kubwa Kagera Sugar ambayo baadaye itakuwa kibaruani mbele ya Mashujaa. Hii ni kutokana na vita ya kukwepa kushuka daraja baada ya KenGold kutangulia mapema na kuziachia msala timu zilizopo juu yake katika msimamo kila mmoja kujipambania kivyake kubaki salama Ligi Kuu…