Mambo manne waliyojadili Kapteni Traoré, Putin Russia

Ouagadougou. Rais wa Burkina Faso, Kapteni Ibrahim Traoré, amehitimisha ziara yake nchini Russia alipohudhuria sherehe za Siku ya Ushindi wa Russia (Victory Day) dhidi ya utawala wa Kinazi wa Adolf Hitler. Traoré, aliyesafiri kwenda Russia kwa kutumia ndege aliyotumiwa na rafiki yake, Rais Vladimir Putin, kisha kurejea nchini mwake, alishiriki kikamilifu katika sherehe hizo, ikiwemo…

Read More

Meridianbet Yawapeleka Wachezaji Kwenye Dunia ya Miungu Kupitia Mchezo Mpya – Gates of Olimpia

WAPENZI wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More

KenGold, Pamba Jiji mechi ya upande mmoja

WAKATI KenGold ikiikaribisha Pamba Jiji katika mwendelezo wa Ligi Kuu Jumanne hii, huenda mchezo huo ukawa wa upande mmoja kutokana na matokeo ya timu hizo, huku makocha wa timu hizo wakieleza matarajio yao. Hadi sasa KenGold imeshuka daraja baada ya kushiriki msimu mmoja Ligi Kuu, huku Pamba Jiji ikiwa na matarajio ya kukwepa aibu ya…

Read More

Wafanyabiashara Iringa wafunga maduka, wananchi wahaha

‎Iringa. Wananchi wa Mkoa wa Iringa wamejikuta katika hali ya taharuki na usumbufu, kufuatia kufungwa kwa biashara nyingi katikati ya mji kuanzia asubuhi ya leo, Mei 12, 2025. ‎Tukio hilo limeathiri upatikanaji wa huduma na bidhaa muhimu kwa wakazi wa Iringa, ambao kwa kawaida hutegemea sana biashara za mjini kwa mahitaji yao ya kila siku….

Read More

INEC yatangaza majimbo mapya manane 

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza majimbo mapya nane na hivyo kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272. Aidha, INEC imeongeza idadi ya kata tano na hivyo kufanya idadi zitakazofanyika uchaguzi mkuu kufikia kata 3,960. Mchakato wa kupokea maoni ya kubadilisha na kugawanywa kwa majimbo ya uchaguzi na kata za uchaguzi…

Read More