Mashujaa, Mgunda ni suala la muda tu

MASHUJAA haijamkatia tamaa aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa timu hiyo, Ismail Mgunda aliyekuwa ametimkia AS Vita ya DR Congo katika dirisha dogo msimu huu kabla ya kurejea nchini hivi karibuni. Vita ilimtaka Mgunda kwenda kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji, ambako straika huyo ni mmoja wa mastaa waliotakiwa na aliyekuwa kocha Youssouf Dabo aliyewahi kuifundisha…

Read More

Mwalwisi aichorea ramani Mbeya Kwanza

WAKATI Mbeya Kwanza ikiendelea kusota Ligi ya Championship kwa misimu minne sasa, kocha mkuu wa timu hiyo, Makka Mwalwisi amesema iwapo uongozi utazingatia ripoti aliyowasilisha, huenda msimu ujao wakarejea Ligi Kuu. Mbeya Kwanza iliyowahi kucheza Ligi Kuu msimu wa 2021/22 tangu iliposhuka daraja, haijarejea tena licha ya kuonyesha ushindani kwenye Championship ikiwamo kushika nafasi ya…

Read More

Kalambo aanika kilichomkwamisha | Mwanaspoti

KIPA wa Coastal Union, Aaron Kalambo amesema sababu kubwa ya kutocheza kwa muda mrefu akiwa na kikosi hicho msimu huu, ni kutokana na kuandamwa na majeraha ya goti kwa muda mrefu, hali iliyomfanya kutoonekana kama alivyotarajia mwanzoni. Nyota huyo alijiunga na Coastal Union siku ya mwisho ya dirisha la usajili kufungwa Januari 15, 2025, baada…

Read More

Sera mpya ya maji safi na usafi wa mazingira inavyovutia sekta binafsi kuwekeza Zanzibar

Unguja. Baada ya kuanzishwa kwa sera ya maji Zanzibar, wadau mbalimbali kutoka sekta binafsi wameonyesha nia ya kushirikiana na Serikali katika kuimarisha miundombinu na upatikanaji wa huduma hiyo mijini na vijijini. Machi mwaka huu, Zanzibar ilizindua sera ya maji safi na usafi wa mazingira ambayo inaruhusu ushirikishaji wa sekta binafsi, kama inavyofanya katika sekta za…

Read More

Pengo aliloacha Ngugi wa Thiong’o

Dar es Salaam. Afrika imepoteza mtu muhimu na mwanamapinduzi wa kweli, hivi ndivyo inavyoelezwa na waandishi wa kazi za fasihi wa Tanzania kufuatia kifo cha mwanafasihi na mwanataaluma Profesa Ngugi wa Thiong’o (87). Ngugi ambaye ni raia wa Kenya alifariki dunia asubuhi ya Mei 28,2025 na taarifa ya kifo chake kuthibitishwa na mtoto wake Wanjiku…

Read More