Kisasi cha mtoto kwa mzazi ni matokeo ya maumivu uliyompa

Wazazi wanapaswa kutambua kuwa athari za malezi mabaya hazikomei utotoni, bali huenda zikatawala maisha ya mtoto hata akiwa mtu mzima. Kupitia upendo, uelewa na mawasiliano, tunaweza kuvunja mzunguko wa mateso na kujenga kizazi chenye afya ya mwili na akili. Siku njema huonekana tangu asubuhi, Waswahili ndivyo wasemavyo, msemo ambao pi ulianza kutumika tangu enzi za…

Read More

Hatari teknolojia ya ChatGPT inapoaminika kuliko mzazi

Dar es Salaam. Jioni moja wiki iliyopita nilikuwa Instanbul. Huu ni mgahawa mmoja maarufu jijini Dar es salaam. Hapa nafanya nazungumza na Damari, mwanafunzi wa shahada katika taasisi moja ya elimu ya juu jijini Dar es Salaam. Sikumuuliza umri lakini nakadiria ana miaka 21. Kikao chetu kilizaliwa na kipindi nilichokuwa nimekifanya asubuhi hiyo kwenye kituo…

Read More

Usijaribu kuoa kisa huruma kwa mwanamke

Dar es Salaam. Ukisoma kozi za utengenezaji wa filamu, moja ya misemo ambayo utaisikia mara kwa mara ni ‘prodyuza’ na ‘dairekta’. Hii  ni kama mke na mume, uhusiano wao ni kama  wa kindoa kabisa. ‘Dairekta’ au kwa kiswahili tunaita muongozaji ni mtu mwenye jukumu la usamimizi mkuu wa nyanja zote za kisanii kwenye filamu. Yeye…

Read More

Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri

Wapendwa katika Kristo Bwana Yesu asifiwe! Leo tunaangazia somo muhimu na lenye changamoto kwa kila mmoja wetu: Kanuni za Kibiblia za kupata utajiri. Mara nyingi utajiri huonekana kwa jicho la mashaka ndani ya kanisa, lakini Biblia haikatazi utajiri bali inatuonyesha jinsi ya kuupata kwa njia ya haki na jinsi ya kuutumia kwa utukufu wa Mungu….

Read More

TANZIA :CHARLES HILARY AFARIKI DUNIA

…….,…  Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary afariki Dunia Alfajiri ya leo Mei 11, 2025.. Amefariki wakati akipatiwa matibabu katika hospital ya Muhimbili Mloganzila  Iliyopo Kibaha Mkoani Pwani Nchini Tanzania. Kipozi amebitisha kifo cha  mpendwa Charles Hilary.  Akizungumza kwa simu  Akiwa Dodoma…

Read More

Dabi ya Kariakoo yapelekwa mkutano mkuu Yanga

BAADHI ya wanachama wa Klabu ya Yanga wamefikia hatua ya kuiandikia barua Kamati ya Utendaji kuomba kufanyika mkutano mkuu wa dharura kabla ya Juni 15, mwaka huu. Kwa mujibu wa Katiba ya Yanga, ili kuitishwa kwa mkutano mkuu wa dharura inategemea idadi ya wajumbe waliopo na ridhaa ya kamati ya utendaji ya klabu au kwa…

Read More

Kisa Yanga, Simba yaweka mzigo mezani

VITA iliyopo hivi sasa kati ya Simba na Yanga katika Ligi Kuu Bara imemfanya kigogo mmoja wa Wekundu wa Msimbazi kuweka mzigo mezani kuhakikisha timu yao inafikia malengo. Simba ambayo leo, Jumapili inakabiliana na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, tayari imeshuka dimbani mara 25, ikishinda 23, sare tatu na kupoteza mechi moja ikiachwa…

Read More