Bado Chadema hakujapoa, makada wengine wajivua uanachama

Dar es Salaam. Maji na mafuta yameendelea kujitenga ndani ya Chama cha Demokarasia na Maendeleo (Chadema) baada ya makundi ya makada na viongozi waandamizi kuendelea na safari ya kutangaza kukihama chama hicho kikuu cha upinzani. Ni maji na mafuta kwa sababu kuna uwiano wa ushawishi na nguvu ya kisiasa waliyonayo kati ya wale wanaotangaza kukihama…

Read More

Mahitaji ya ‘Massive’ huko Sudan, upungufu wa misaada ya DR Kongo, msaada kwa wakimbizi wa Kongo na Msaada wa Cholera ya Angola – Maswala ya Ulimwenguni

UN inakadiria kuwa katika wiki chache zilizopita, zaidi ya watu 330,000 wamekimbilia Tawila baada ya Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) kuzindua vurugu mashambulio Katika kambi za uhamishaji wa Zamzam na Abu Shouk na katika El Fasher, mji mkuu wa mkoa. Zaidi ya watu 100,000 pia hubaki wameshikwa katika El Fasher. ‘Massive’ mahitaji ya kibinadamu…

Read More

Tiketi ya CAF yampa presha kocha Azam FC

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Rachid Taoussi amesema matokeo mabaya iliyopata timu hiyo katika mechi za hivi karibuni za Ligi Kuu Bara ni moja ya sababu za kuwarejesha haraka kambini wachezaji ili kujiandaa na mechi tatu za kufungia msimu zitakazoamua hatma yao ya CAF. Azam, iliyong’olewa mapema katika Ligi ya Mabingwa Afrika iliyoshiriki msimu huu…

Read More

JKT yachemsha Bara, ila kazi ipo huku

MAAFANDE wa JKT Tanzania kupitia kocha mkuu, Ahmad Ally wamekiri wamechemsha kwa kushindwa kufikia malengo ya Ligi Kuu ya kumaliza ndani ya 5-Bora, lakini kilichobaki kwa sasa wanaelekeza nguvu zote katika Kombe la Shirikisho (FA) ili wakate tiketi ya Kombe la Shirikisho Afrika. JKT inayoshika nafasi ya saba kwa sasa imesaliwa na mechi tatu za…

Read More

Nyoni: Yanga ni bora, lakini inafungika

KIRAKA wa Namungo, Erasto Nyoni amefunguka kuwa hivi sasa wanaitazama zaidi Yanga ambayo ameitaja ni bora lakini inafungika. Namungo inatarajia kuwa ugenini dhidi ya Yanga, Mei 13 mwaka huu kwenye Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Katika maandalizi ya mchezo huo, Namungo imejichimbia Dodoma huku rekodi zikionesha…

Read More

Mechi tatu za heshima KenGold

LICHA ya KenGold kushuka daraja, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Omary Kapilima amesema anataka kuacha maumivu ligi kuu kwa kuhakikisha anashinda michezo yote mitatu iliyosalia. KenGold inaburuza mkia katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na pointi 16 ikiwa tayari imeshuka daraja baada ya kucheza mechi 27 ikishinda tatu, sare saba na vipigo 17, ndiyo…

Read More

Chadema wampa IGP Wambura saa 72 kuzungumzia utekaji

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempa saa 72 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Camilius Wambura kuzungumzia mwenendo wa matukio ya utekaji nchini likiwemo la Mdude Nyagali ambaye hadi sasa hajulikani alipo. Chama hicho kimeeleza kwamba IGP hawezi kuwa kimya wakati wote wakati kuna matukio yanayoonyesha kwamba kuna magenge uhalifu yanatumika…

Read More

Mtihani mgumu mrithi wa Ongala KMC

BAADA ya KMC kuachana na Kally Ongala, timu hiyo imemrejesha aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Adam Mbwana Mubesh kukiongoza kikosi hicho hadi mwisho wa msimu, huku uongozi ukiweka wazi umempa uhuru wa kufanya kazi bila ya presha. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Mtendaji Mkuu wa KMC, Daniel Mwakasungula alisema wana imani kubwa na kocha huyo kwa…

Read More

AGGY BABY AZINDUA RASMI EP “FIRST LOVE”

  Msanii maarufu wa muziki, mwigizaji, na mwanaharakati wa kijamii kutoka Tanzania, Agness Suleiman, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii Aggy Baby, amezindua rasmi EP (Album) yake ya kwanza iitwayo “First Love”. EP hii inaonyesha mchanganyiko wa mitindo ya muziki kama Bongo Fleva, Amapiano na Kompa, ikiwakilisha sauti mpya ya muziki wa Afrika Mashariki. EP…

Read More

Lori laparamia nyumba na kuungua, wanne wajeruhiwa

Dar es Salaam. Watu wanne wamejeruhiwa baada ya lori lililobeba saruji kuacha njia, kugonga maduka sita na nyumba moja pembezoni mwa barabara ya Wazo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Majeruhi hao, Ezekiel Matuni, Herubu Jackson na Stanley Mchingwi na mmoja ambaye hajatambuliwa jina, wamefikishwa katika Hospitali ya Kitengule. Akizungumza na Mwananchi leo Mei 10, 2025…

Read More