Heche apeleka ‘No reforms, No election’ Chato

Chato. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) (Bara), John Heche amefika Wilaya ya Chato kupeleka kampeni ya chama hicho ya No reforms, No election. Heche anayeongoza timu ya chama hicho katika ziara ya Kanda ya Victoria ameingia Chato leo Mei 10, 2025 kwa kuhutubia mkutano wa kwanza katika Kijiji cha Muganza ambako…

Read More

MHE. HEMED ABDULLA AHAMASISHA UWEKEZAJI NCHINI KUPITIA TEKNOLOJIA

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewataka wawekezaji, wafanyabiashara na taasisi mbalimbali za Kimataifa kuja kuwekeza nchini pamoja na kushirikiana na Tanzania katika nyanja mbalimbali hususani katika teknolojia. Ameyasema hayo Mei 09, 2025 jijini Dar es Salaam katika kilele cha Kongamano la e-Learning Africa, ambalo limewakutanisha…

Read More

Kardinali Nichols afichua kilichojiri uchaguzi wa Papa mpya

London. Wakati Ibada ya kwanza ya Papa mpya inatarajiwa kufanyika Mei 18, Kardinali mmoja kutoka Uingereza amefichua jinsi Papa Leo XIV alivyoiitikia kwa utulivu alipoulizwa kama anakubali kuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani. Alisema baada ya kuchaguliwa, akionyesha kuwa ‘hatawaogopa watawala wa kiimla,’ kufuatia kikao cha siri cha uchaguzi wa Papa. Jina halisi la Papa…

Read More

UNFPA inatutaka kufikiria tena marufuku juu ya ufadhili wa baadaye – maswala ya ulimwengu

Katika a taarifa. UNFPA Alisema hatua hiyo-ambayo inavutia kifungu cha kisheria cha 1985 kinachojulikana kama Marekebisho ya Kemp-Kasten-ni msingi wa “madai yasiyokuwa na msingi” juu ya kazi ya shirika hilo nchini China. Madai haya, yalibainika, “yamekuwa yakigawanywa” kwa muda mrefu, pamoja na serikali ya Amerika yenyewe. Marekebisho ya Kemp-Kasten yanasema kwamba hakuna fedha zinazoweza kwenda…

Read More

Zijue sababu zinazokufanya uishiwe fedha

Katika maisha ya kila siku, changamoto ya kuishiwa fedha ni jambo la kawaida na linaweza kumpata mtu yeyote, bila kujali kipato au nafasi yake katika jamii. Watu wengi wamejikuta katika hali ya kukosa fedha za kutosha kwa ajili ya mahitaji yao ya msingi au malengo yao ya muda mrefu. Sababu za hali hii ni nyingi…

Read More

SERIKALI YASISITIZA UMUHIMU WA KULINDA LUGHA ZA ASILI

Julieth Kabyemela Na Rose Ngunangwa, Dar es Salaam Serikali imesisitiza umuhimu wa kulinda lugha za asili kwani ni nyenzo ya utu ya utamaduni usioshikika. Wito huu ulitolewa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Julieth Kabyemela wakati akifungua kikao kazi cha wanufaika wa ruzuku ya pili ya Mradi…

Read More