Wasomi watakiwa kubuni teknolojia za kupunguza upotevu wa mazao

Morogoro. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe, amesema licha ya Serikali kuweka fedha nyingi katika miradi ya kilimo, bado kuna changamoto ya uharibifu na upotevu wa mazao baada ya kuvunwa. Kigahe amesisitiza kuwa vijana wasomi wanapaswa kuendeleza na kubuni teknolojia zitakazosaidia kupunguza changamoto hiyo. Kigahe aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na wabunifu, wajasiriamali, wahadhiri,…

Read More

Jinsi Bunge lilivyopitisha bajeti Wizara ya Maji

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka 2025/26 likitumia takribani dakika 10. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso jana Mei 8, 2025 aliliomba Bunge kuidhinisha Sh1.01 trilioni kwa ajili ya wizara hiyo, kati ya hizo Sh943.11 bilioni ni kwa ajili ya miradi maendeleo. Katika mwaka 2024/25 Bunge liliidhinisha Sh627.78 bilioni kwa ajili ya…

Read More

THE ROYAL TOUR YAZIDI KUIFUNGUA SEKTA YA UTALII. 

……….. Na Mwandishi wetu  Filamu ya The Royal Tour imezidi kuleta matokeo chanya katika sekta ya Utalii kutokana na mwamko mkubwa kwa wawekezaji hususan wa Hotel za kitalii kuendelea kuwekeza kwenye maeneo mbalimbali hasa kwenye Hifadhi za Taifa ili kwendana na kasi kubwa ya watalii wanaoingia nchini. Akizungumza baada ya kutembelea Hoteli ya Serengeti Explore…

Read More