Afrika yapiga marufuku biashara ya punda, bidhaa zake

Dodoma. Marufuku ya biashara ya nyama ya punda na mazao yake barani Afrika inatarajiwa kusaidia katika kulinda na kuongeza idadi ya wanyama hao, ambao walikuwa hatarini kutoweka kufuatia kuongezeka kwa mahitaji kutika nchi za Bara la Asia. Aidha, kufuatia marufuku hiyo, Serikali ilifunga viwanda viwili vikubwa vya kuchakata nyama ya punda kwenye  mikoa ya Dodoma…

Read More

Vurugu viwanjani mambo ya kishamba

POLE kwa mashabiki wote ambao walikutana na kadhia ya kupigwa, kuchaniwa jezi au kufanyiwa kitendo chochote kisicho cha kiungwana kwenye mechi ya Simba dhidi ya RS Berkane ya Morocco, Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar. Sio vitendo vya kuviunga mkono na ni vya ovyo sana kwani vinachafua taswira ya nchi yetu kiujumla huku…

Read More

CCM yaridhia mikutano kufanyika kimtandao

Dar es Salaam. Wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameridhia kwa kauli moja marekebisho matatu madogo ya katiba yake ya 1977, toleo la Januari 2025 ya kufanya mikutano ya kidijitali ili kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia. Mbali na marekebisho hayo, kuongezwa kwa namba ya wadhamini wa chama hicho kutoka wanane…

Read More

Mapinduzi ya kidijitali yanavyobadili namna ya uwekezaji

Ripoti ya Mwaka ya Mfumo wa Malipo wa Taifa iliyotolewa hivi karibuni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), 2024 ilionyesha kuwa miamala ya mikopo ya kidijitali nchini Tanzania imeongezeka kwa asilimia 91.49 hadi kufikia Sh4.22 trilioni kutoka Sh2.20 trilioni mwaka 2023. Hali kadhalika, kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya miamala pia iliongezeka kwa asilimia…

Read More

Namna bora ya kuokoa gharama kupata bidhaa bora

Katika ulimwengu wa leo ambapo gharama za maisha zinapanda kila uchao, ni muhimu kwa kila mtu kuhakikisha kuwa fedha anazotumia zinampatia thamani halisi.  Moja ya njia bora za kuhakikisha hili ni kwa kununua bidhaa zenye ubora, hasa zile za kielektroniki na umeme. Ingawa kwa mtazamo wa kwanza bidhaa zenye ubora huonekana ghali, ukweli ni kwamba…

Read More

Samia awatega wanachama wanaotamani kukipasua CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ni kama amewatega wana-CCM wanaowaza kukigawa chama hicho, akiwataka wajitafakari kwa kina kabla ya kufikia maamuzi hayo. Akizungumza leo Alhamisi Mei 29, 2025 katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM unaofanyika jijini Dodoma, Rais Samia alitoa kauli hiyo baada…

Read More