TET yajitosa kuelimisha matumizi ya akili bandia

Dar es Salaam. Walimu na wanafunzi nchini wanatarajia kunufaika na mkataba mpya uliosainiwa kati ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Kampuni ya Tanzania AI Community, wenye lengo la kuboresha mbinu za ufundishaji na ujifunzaji kwa kutumia teknolojia ya akili bandia (AI). Makubaliano hayo yanayolenga kuimarisha matumizi ya majukwaa ya kidijitali katika shule za msingi…

Read More

Wabunge CCM wamuangukia Makalla wakidai barabara

Morogoro. Wabunge wa Ulanga na Malinyi wamesema licha ya kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya kupeleka maendeleo katika wilaya hizo,  bado wanakabiliwa na changamoto ya barabara wakimuomba Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla kuisukuma ajenda hiyo ili kuboresha miundombinu hiyo. Hata hivyo, wameishukuru Serikali kwa kutenga fedha kwa ajili ya ujenzi…

Read More

WAZIRI AWESO ATANGAZA KIFO CHA MDOGO WAKE

……. Waziri wa Maji ambaye ni Mbunge wa Pangani Jumaa Aweso anasikitika kutangaza kifo cha mdogo wake Alli Aweso (Babu Ali) kilichotokea Dodoma leo asubuhi wakati waziri akihitimisha bajeti ya wizara ya maji. Mazishi yatafanyika Sakura Pangani. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.Amin  

Read More

Padri Felician Nkwera afariki dunia

Dar es Salaam. Muasisi wa Kituo cha Maombezi cha Mama Bikira Maria (Marian Faith Healing), Padri Felician Nkwera (89) amefariki dunia. Waamini wamekusanyika katika kituo hicho kilichopo Ubungo Riverside, Dar es Salaam leo Mei 9, 2025 kuomboleza. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa kituoni hapo, Padri Nkwera alifariki dunia jana Alhamisi Mei 8, 2025 usiku. “Aliaanza…

Read More

Usiyoyajua kuhusu Papa Leo XIV, kutembelea Tanzania

Dar es Salaam. Robert Prevost (69), sasa Papa Leo XIV akiwa wa kwanza kuchaguliwa kutoka Marekani na historia ya kipekee huku mwezi Septemba ukibeba siri nzito katika maisha yake. Septemba ndio mwezi aliozaliwa Leo XIV akiwa Papa wa 267, alioteuliwa kuwa kiongozi wa shirika la Mt Augustine, alioteuliwa kuwa askofu na ndio mwezi alisimikwa kuwa…

Read More

Nchini Zimbabwe, wakulima wanaongoza utafiti wa kisayansi juu ya kilimo cha uhifadhi – maswala ya ulimwengu

Migren Matanga, mkulima mdogo kutoka Rushinga, ameshikilia moja ya mazao yake madogo ya nafaka. Mikopo: Farai Shawn Matiashe/IPS na Farai Shawn Matiashe (Bulawayo, Zimbabwe) Ijumaa, Mei 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Bulawayo, Zimbabwe, Mei 9 (IPS) – Migren Matanga alikua akitoka mbali na nafaka ndogo na za jadi huko Rushinga, kaskazini mwa Zimbabwe….

Read More