Jaji Mkuu: Kesi nyingi hazihitaji kufika mahakamani, wananchi wanakosa msaada wa sheria
Pemba. Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, Khamis Ramadhan Shaaban amesema kuwa sehemu kubwa ya kesi zinazofikishwa mahakamani, hasa zile zinazohusiana na migogoro ya ardhi, mirathi na ndoa, zinaweza kutatuliwa nje ya Mahakama endapo wananchi wangepata msaada wa kisheria kwa wakati. Akizungumza Mei 8, 2025 katika hafla ya uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya…