MADIWANI CHATO WALILIA SAFARI ZA NDEGE
::::::: Na Daniel Limbe,Chato BARAZA la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Chato mkoani Geita,limedai kusikitishwa na ukimya wa serikali kushindwa kurusha ndege kwenye uwanja wa ndege wa mkoa wa Geita uliopo Chato hali inayosababisha unyonge na usumbufu mkubwa kwa wananchi. Mbali na wananchi, safari za madaktari Bingwa na bobezi kutoka Hospitali ya Taifa ya…