AKILI ZA KIJIWENI: Yanga haimdai chochote Hamdi

MSIMU utamalizika Juni baada ya mabadiliko ya ratiba yaliyofanywa na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) hivi karibuni na mechi za mwisho za Ligi Kuu zitachezwa Juni 22. Kwa sisi hapa kijiweni kwetu hatufahamu nini kitaendelea kwa Kocha Miloud Hamdi wa Yanga ambaye muda huo atakuwa ameinoa timu hiyo kwa miezi sita tu. Labda Yanga…

Read More

Msimu mpya BDL/WBDL, kazi imeanza DonBosco

LIGI ya kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inatarajia kuanza kesho kwa michezo miwili kupigwa katika Uwanja wa Donbosco Upanga na utaishuhudia UDSM Outsiders itakipiga dhidi ya JKT, huku ikitanguliwa na DB Lioness ikikwaruzana dhidi ya mpinzani wake mkubwa Vijana Queens ikiwa ni michezo ya ufunguzi kwa wanaume na wanawake. Kamishina wa ufundi na…

Read More

Maabad aukubali mziki wa Mzize

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid Maabad amesema kwa msimu huu mshambuliaji Clement Mzize ndiye mzawa aliyemvutia zaidi kutokana na kiwango alichoonyesha kuisaidia Yanga. Alisema Mzize amekuwa na mwendelezo mzuri na msimu uliopita alifunga mabao sita na asisti saba katika mechi 29 alizocheza sawa na dakika 1,299, huku msimu huu akiwa na mabao 13 na…

Read More

Beki JKT Tanzania anogewa na vigogo

BAADA ya kucheza mechi mbili dhidi ya Simba na Yanga, beki wa JKT Tanzania, Karim Bakiri amesema timu hizo kongwe zina nyota wengi bora ambao wanaufanya mpira kuwa mwepesi wakikutana nazo tofauti na akicheza na timu za madaraja ya kawaida ambazo hufanya jasho liwatoke. Bakiri alikuwa sehemu ya kikosi kilichoituliza Yanga kwa kuambulia suluhu Uwanja…

Read More

PAPA LEO ALIFIKA TANZANIA 2004

…………. Mwaka 2004, Papa Leo XIV alifika nchini Tanzania na kufanya ziara kama Mkuu wa Shirika la Waagustiniani Ulimwenguni.  Katika.ziara hiyo Papa Leo anayetoka katika Shirika la Order of Saint Augustine (OSA), alifika jijini Dar es Salaam kisha akaenda mkoani Njombe. Ziara hiyo pia ilihusisha maeneo ya Mahanje hadi mkoani Songea.

Read More

Jumuiya ya Haki za UN inatawala Guatemala ilishindwa kutengwa kwa watu wa Mayan – maswala ya ulimwengu

Uamuzi wa kihistoria, uliotangazwa Alhamisi, pia ulizingatia madhara yaliyosababishwa na vizazi vilivyofuata. “Uhamishaji wa kulazimishwa ni wa kudumu kwa asili hadi wahasiriwa wanufaike na kurudi salama na heshima kwa nafasi yao ya makazi ya kawaida au wameishi kwa hiari mahali pengine, ” Alisema Mjumbe wa Kamati Hélène Tigroudja. Migogoro, uhamishaji na ukiukaji Kamati iligundua kuwa…

Read More

Simba yaacha msala CAF | Mwanaspoti

SIMBA imeendeleza kugawa dozi katika Ligi Kuu Bara baada ya jana kuifumua Pamba Jiji kwa mabao 5-1 na kukata tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, huku ikiziachia msala Singida BS na Azam FC zilizo na siku 10 ngumu za kuomba miujiza iwabebe ili zitinge michuano ya CAF. Simba ilipata ushindi huo kwenye…

Read More