Marais wampongeza Papa mpya | Mwananchi
Washington. Marais Donald Trump wa Marekani na Volodymyr Zelensky wa Ukraine wamempongeza Papa mpya, Leo wa XIV, kwa kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani. Rais wa Marekani, Donald Trump, alieleza furaha yake kubwa kupitia mtandao wa Truth Social, akimpongeza Kardinali Robert Francis Prevost kwa kuchaguliwa kuwa Papa. Trump alisema: “Hongera kwa Kardinali…