Huu ndio umuhimu wa kuwekeza kwenye elimu ya awali
Katavi. Wakati utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 toleo la mwaka 2023 ukiendelea, wadau wa elimu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kuhakikisha uwekezaji mkubwa unafanyika kwenye elimu ya awali. Hatua hiyo inalenga kutengeneza mazingira wezeshi ya kujifunzia kwa watoto ambayo yatakuwa rafiki kujifunzia, yaliyo na vifaa vya kujifunzia vinavyofaa umri wao, pamoja…