WANAHABARI NA MABALOZI WA LATRA WAPIGWA MSASA

 ::::::: Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) inaendesha semina ya kuwajengea uwezo Wanahabari Mabalozi wa LATRA juu ya kazi na majukumu yanayotekelezwa na Mamlaka. Semina hiyo ni ya siku mbili imefunguliwa rasmi na CPA Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA ambapo katika ufunguzi huo amewapongeza wanahabari hao kwa kuwa mabalozi wazuri katika ufikishaji wa habari zinazohusu…

Read More

Makalla: Chadema kutoshiriki uchaguzi ni mseleleko kwetu

Morogoro. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema kitendo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutoshiriki uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu ni mseleleko wa ushindi kwa chama hicho tawala nchini. Makalla amebainisha hayo leo Alhamisi Mei 8, 2025 akiwa safarini kuelekea Ifakara, ambapo alisimama njiani kuzungumza…

Read More

Mfanyabiashara ajitosa kuwania urais kupitia TLP

Dar es Salaam. Kada wa chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Wilson Elias amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Elias ambaye ni mzaliwa wa Tanga, anakuwa kada wa kwanza kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama…

Read More

‘Trump anaendeleza lahaja ya karne ya 21 ya US, inayoungwa mkono na itikadi nyeupe ya utaifa’-maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatano, Mei 07, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mei 07 (IPS) – Civicus inazungumza juu ya kupungua kwa demokrasia huko USA na mwanaharakati wa kibinadamu na asasi za kiraia Samuel Worthington, Rais wa zamani wa Jumuiya ya Asasi za Kiraia za Amerika Mwingiliano na mwandishi wa kitabu kipya, Wafungwa wa Matumaini: Kitendo…

Read More

KenGold yaipeleka Simba Ruvuma

KENGOLD iliyoshuka mapema hadi Championship kutoka Ligi Kuu Bara iliyoicheza kwa mara ya kwanza msimu huu, imepanga kuipeleka mechi dhidi ya Simba iliyopangwa kupigwa Juni 18 Uwanja wa Majimaji, Songea, mkoani Ruvuma, endapo taratibu za ukaguzi uwanjani hapo zitakamilika mapema.

Read More

MAJALIWA AHANI MSIBA WA MHE. CLEOPA DAVID MSUYA*

 ::::::: WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Mei 8, 2025 amehani msiba wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Cleopa David Msuya, Upanga Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wanafamilia pamoja na waombolezaji wengine, Mheshimiwa Majaliwa, amewasihi kuendelea kumuombea Mhe. Msuya na wawe wavumilivu katika kipindi hiki kigumu. Marehemu Cleopa Msuya…

Read More