IMANI POTOFU ZINAVYO HARIBU UBORA WA PAMBA NCHINI

Na Daniel Limbe,Torch media SERIKALI imezindua rasmi msimu wa ununuzi wa zao la pamba kwa mwaka 2025/26 huku ikitangaza bei elekezi ya shilingi 1,150 kwa kila kilogramu moja ya Pamba safi itakayouzwa na mkulima kwa wanunuzi binafsi na vyama vya msingi vya ushirika (Amcos) kwa bei ya ushindani ili kuinua uchumi na tija kwa jamii….

Read More

Hivi ndivyo trilioni moja za Wizara ya Maji zitakavyotumika

Dodoma. Bunge limeombwa kuidhinishia Sh1.01 trilioni kwa ajili ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku vipaumbele sita vikiainishwa, kikiwemo cha utekelezaji wa miradi ya maji 1,544 inayoendelea kutekelezwa nchini. Ombi hilo limetolewa leo, Alhamisi Mei 8, 2025, na Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara…

Read More

Walichokubaliana Rais Samia, Chapo wa Msumbiji

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uhusiano imara wa kidiplomasia na kihistoria kati ya Tanzania na Msumbiji hauakisi ushirikiano na uhusiano wa kiuchumi uliopo kati ya mataifa hayo. Kwa kutambua hilo, amesema mataifa hayo yamekubaliana kushirikiana kutafuta mbinu za kurahisisha ufanyaji biashara kati ya wafanyabiashara wa nchi hizo mbili kwa lengo la kukuza…

Read More

Bosi mpya Tanesco atoa mwelekeo wake

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange anabainisha kile anachokwenda kukifanya ndani ya shirika hilo. Usiku wa Mei 6, 2025, Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ilitoa taarifa kwa umma juu ya uteuzi wa Lazaro Twange uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan. Twange aliteuliwa ili kujaza nafasi iliyokuwa…

Read More

Chadema kuweka kambi Mbeya kushinikiza Mdude atafutwe

Mbeya. Ikiwa ni siku ya saba tangu kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na mwanaharakati Mdude Nyagali, kuchukuliwa na watu wanaodaiwa kuwa ni polisi, wafuasi na viongozi wa chama hicho takriban 500 wameamua kuweka kambi katika ofisi za Kanda, wakisubiri tamko kutoka kwa viongozi wa kitaifa. Hatua hiyo imetajwa kuwa ni kutokana na…

Read More