UN inahitaji kulinda kazi yake muhimu, lakini iliyofadhiliwa, haki za binadamu – maswala ya ulimwengu

Karla Quintana (katikati), mkuu wa taasisi huru juu ya watu waliokosekana nchini Syria, hutembelea Al Marjeh Square huko Dameski, mahali ambapo familia za watu waliokosekana huonyesha picha kwa matumaini ya kupata wapendwa wao. Mikopo: IIMP Syria Maoni na Louis Charbonneau Alhamisi, Mei 08, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Mei 08 (IPS) – Louis Charbonneau…

Read More

NBC Yaitambulisha “NBC Shambani’’ Kwa wakulima wa Ufuta Pwani, DC Awasisitiza wakulima Kugeukia Taasisi za fedha.

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), imetambulisha kampeni yake ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ kwa wakulima wa zao la ufuta mkoa wa Pwani ikiwa ni muendelezo wa jitihada za benki hiyo kuchochea kasi ya ukuaji wa sekta ya kilimo kupitia uchumi jumuishi unaochagizwa na huduma rasmi za kifedha. Hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo ilifanyika…

Read More

CCM, Chadema watakavyomkumbuka Mzee Msuya

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vimeomboleza kifo cha aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya (94). CCM kimesema Mzee Msuya ni miongoni mwa makada wake waliolitumikia Taifa kwa moyo wa dhati, uadilifu na uzalendo usiotetereka. Chadema chenyewe kimesema: “Tutamkumbuka Mzee…

Read More

Bastola inayohusishwa kutumika mauaji ya mbunge yapatikana

Nairobi. Polisi nchini Kenya wamesema wamefanikiwa kupata bastola inayoshukiwa kutumika katika mauaji ya Mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were, kufuatia msako mkali uliofanyika katika eneo la Chokaa, Nairobi. Mbunge Were aliuawa Aprili 30, 2025 kwa kupigwa risasi na mtu aliyekuwa kwenye pikipiki katika Barabara ya Ngong Jijini Nairobi. Kwa mujibu wa tovuti ya KBC, gari…

Read More

SERIKALI INAENDELEA KUTEKELEZA MPANGO WA URASIMISHAJI WA MAKAZI

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni -Dodoma MBUNGE wa Kinondoni,Tarimba Abasi (CCM) amehoji ni lini Serikali itakamilisha zoezi la urasimishaji wa maeneo ya Squaters katika Jimbo la Kinondoni. Akijibu swali hilo leo Bungeni Machi 8,2025 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophray Pinda amesema Serikali inaendelea kutekeleza Mpango wa Urasimishaji wa makazi…

Read More

Papa mpya bado hajapatikana, Moshi mweusi wafuka tena

Vatican. Katika siku ya pili ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa Papa mpya leo Mei 8, 2025 umeshuhudiwa moshi mweusi kupitia dohani katika kanisa dogo la Sistine kuashiria bado hajapatikana. Makardinali 133 bado hawajamchagua mrithi wa Papa Francis aliyefariki dunia Aprili 21,2025. Ikiwa ni mwishoni mwa upigaji kura mara ya pili, moshi mweusi ulitoka kwenye…

Read More

Chatanda ashuhudia utiaji saini wa Bilioni 13.3 kuboresha miundombinu Rufiji

-Mhe. Mchengerwa azindua Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi”. Na John Mapepele Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda ameshuhudia utiaji saini wa mikataba mitano ya bilioni 13.3 zilizotolewa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ili kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja wilayani Rufiji, huku Mhe. Mchengerwa akizindua rasmi Ligi ya ”Mchengerwa Mtu Kazi” inayoanza…

Read More