Cleopa Msuya alama ya binadamu aliyeishi mbele ya wakati

Mtumishi wa umma aliyegeuka mwanasiasa. Mhusika muhimu katika ukuaji wa sekta binafsi. Kiongozi mwenye maono aliyeifanya tasnia ya fedha Tanzania ifike ngazi ya kijamii. Ndivyo unaweza kuuelezea kwa kifupi kabisa, uhusika wa Cleopa David Msuya. Mwaka 2000, Msuya alikuwa mhusika kiongozi na mbeba maono, aliyefanikisha kuanzishwa kwa Benki ya Kijamii Mwanga. Ikajulikana zaidi kama Benki…

Read More

TBS YADHAMIRIA KULINDA AFYA NA MAZINGIRA KUPITIA VIWANGO VYA NISHATI SAFI

Na Mwandishi Wetu, Arusha WADAU mbalimbali wa tasnia ya kutengeneza nishati safi za kupikia nchini wameshauriwa wanapokuwa kwenye mchakato wa kutengeneza nishati hizo kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kupata viwango vya kutengeneza nishati hizo. Wito huo ulitolewa na Afisa Viwango wa TBS, Mhandisi Mohamed Kaila, wakati akizungumza na wadau mbalimbali katika kongamano…

Read More

Mwenge yaizima Junguni, Mwembe Makumbi ikibanwa ZPL

Maafande wa Zimamoto wameiwekea ngumu Mwembe Makumbi kwa kutoka sare ya 3-3, huku Mwenge ikiizima Junguni United katika mfululizo wa mechi za  Ligi Kuu Zanzibar. Mwembe Makumbi ambao ndio vinara wa ZPL ilibanwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Matokeo hayo yameifanya timu iliyopanda daraja msimu huu, ikifikisha pointi 46 kupitia mechi 24, ikiwa…

Read More

Sara, binti aliyepata mimba shuleni anavyofukuzia ndoto ya udaktari

Dar es Salaam. Tangu utotoni ndoto yake ilikuwa kuwa daktari, kadiri alivyokua shauku ya kuikaribia taaluma hiyo iliongezeka. Aliamini njia pekee ya kufanikisha ndoto hiyo ni kuongeza juhudi kwenye masomo, jambo alilotekeleza hadi pale alipoanza kusumbuliwa na maradhi. Mwaka 2022 akiwa kidato cha pili afya ilizidi kutetereka, ikamlazimu kukatisha masomo ili kupata tiba. Aliporejea shuleni…

Read More

Asilimia 68 wanaovunjika mifupa hawafiki hospitalini

Dar es Salaam. Utafiti mpya umeonyesha wagonjwa wengi walio na majeraha ya mifupa katika maeneo ya vijijini sawa na asilimia 68 hawafiki hospitali kutibiwa, huku wataalamu wa mifupa wakishauri tafiti zaidi eneo hilo. Hali hiyo imetajwa kusababisha ulemavu wa muda mrefu na hata kukatwa viungo kwa baadhi ya wagonjwa, kupoteza uwezo wa kufanya kazi na…

Read More

WAZIRI KABUDI AITAMBULISHA RASMI BODI YA ITHIBATI BUNGENI

•Kuanza mwaka wa Fedha 2025/26 kwa mafunzo Na Mwandishi Wetu, JAB. WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Prof. Palamagamba Kabudi, ameitambulisha rasmi Bungeni Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) na kubainisha kwamba katika kutekeleza majukumu yake kwa Mwaka wa Fedha 2025/26 itaanza kwa kutoa mafunzo kupitia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi wa…

Read More