Wawili wafukuzwa Skauti kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha

Dar es Salaam. Chama cha Skauti Tanzania kimewafuta uanachama wakufunzi wake wawili, Faustine Magige na Festo Mazengo, kwa tuhuma za kukiuka katiba na sera za chama hicho, ikiwemo ubadhirifu wa fedha zinazohusiana na safari ya kimataifa ya watoto wa skauti. Taarifa hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Skauti Tanzania, Rashid Mchatta, leo Jumatano, Mei…

Read More

Sera mpya mambo ya nje kutoa mwogozo wa diaspora

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema sera mpya ya mambo ya nje itakayozinduliwa mwezi huu itatatua changamoto kadhaa ikiwamo ukosefu wa mwongozo wa kushirikiana na Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora). Mambo mengine yatayokuwemo kwenye sera hiyo ya mwaka 2001 ni kushughulikia changamoto…

Read More

Kamanda Mambosasa afungua mafunzo ya medani za kivita

Mkuu wa Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Dkt. Lazaro Benedict Mambosasa amefungua mafunzo ya medani za kivita kwa kozi ya uafisa na Mkaguzi Msaidizi wa Polisi namba 1.2024/2025 kwa lengo la kuwajengea uwezo hususani eneo la medani za kivita. Akizungumza Mei 7,2025 katika kambi ya Mkomazi iliyopo…

Read More

CCM YAWAKARIBISHA WANACHADEMA NA G 55

•kutangaza kuhama kwa waliokua viongozi waandamizi ni uthibitisho mgogoro ndani ya Chadema MVOMERO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawakaribisha kujiunga na chama hicho John Mrema na wenzake kutoka katika kundi la G55 waliojiondoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ameeleza hayo leo…

Read More

Huu hapa wasifu wa marehemu Cleopa Msuya

Tanzania imepoteza mmoja wa nguzo muhimu za historia yake, Cleopa Msuya, aliyewahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu wa Tanzania mara mbili. Alizaliwa Januari 4, 1931, katika Kijiji cha Chomvu, Usangi, wilayani Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro. Tangu akiwa mdogo, Msuya alionyesha kiu ya elimu na dhamira ya kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Alianza masomo katika Shule…

Read More

Simba yaitandika JKT, yachungulia ubingwa

KATIKA kuhakikisha Simba Queens inakaa kileleni na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wa Ligi ya Wanawake imeitandika JKT Queens mabao 4-3. JKT ikiwa nyumbani imetandikwa mabao hayo na kushushwa kileleni ilipokuwa na pointi 37 na sasa Simba iko nafasi ya kwanza ikifikisha pointi 40. Mchezo wa kwanza zilipokutana timu hizo msimu huu Simba…

Read More

SMZ yaeleza hatua inazochukua kudhibiti mfumuko wa bei

Unguja. Wakati Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, ikiomba Baraza la wawakilishi kuidhinisha Sh120.89 bilioni mwaka 2025/26, Serikali imesema inaendelea kuchukua hatua mahususi kudhibiti mfumuko wa bei kwa bidhaa na huduma mbalimbali. Miongoni mwa hatua hizo ni kuendelea kutoa bei elekezi na kusimamia bidhaa zinazoingia nchini zikiwemo za chakula na vifaa vya ujenzi. Hayo…

Read More

JAMII YAHIMIZWA KUZINGATIA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA

Na.Elimu ya Afya kwa Umma. WANANCHI Mkoani Morogoro wamehimizwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ili kuepuka usugu unaoweza kusababishwa na matumizi holela bila ushauri wa daktari. Wito huo umetolewa Mkoani Morogoro na Mfamasia kutoka Manispaa ya Morogoro Adam Said wakati akitoa elimu ya Afya kuhusu matumizi sahihi ya dawa kwa waendesha bodaboda na bajaji(JUWATA) ,Wafanyabiashara…

Read More