Wakuu wa Taasisi za Habari Washuhudia Uwasilishaji Bajeti ya Habari
………,…. Dodoma. Wakuu wa Taasisi za Kihabari nchini kwenye picha ya Pamoja na Waziri wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Paramagamba Kabudi, Naibu Waziri Hamis Mwinjuma na Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali Greson Msigwa baada ya uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Bungeni Leo Jijini Dodoma. Wakuu…