Tanzania vitani mbio za magari ubingwa Afrika

MADEREVA wa Tanzania, Yassin Nasser na Prince Charles Nyerere wanaingia vitani leo mjini Mbarara ambako raundi ya pili ya mashindano ya mbio za magari ubingwa wa Afrika yanaanza kwa mbio za mchujo. Watanzania  wanachuana na madereva wengine 51 kutoka nchi za Kenya, Rwanda, Ethiopia na wenyeji Uganda katika mashindano ambayo yanachezwa kwa mara ya kwanza…

Read More

Waziri MKuu mstaafu Cleopa Msuya afariki dunia

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu, Cleopa Msuya kilichotokea saa 3 asubuhi ya leo Jumatano, Mei 7, 2025 katika Hospitali ya Mzena, Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Akitangaza msiba huo kwa Taifa, Rais Samia amesema Mzee Msuya ameugua tatizo…

Read More

Mfahamu bosi mpya wa Tanesco, kibarua kinachomsubiri

Dar es Salaam. Huenda watu wengi wanahoji iwapo Lazaro Twange anaweza kumudu nafasi aliyopewa ya mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Hiyo ni kutokana na wengi kumfahamu baada ya kuhudumu kama mkuu wa wilaya mbalimbali ikiwemo Babati, Mkoa wa Manyara alipoanzia kabla ya kuhamishiwa Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye Ubungo, Dar es…

Read More

Kissu Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Africa Media Group, Shaaban Kissu, kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu. Taarifa ya uteuzi wa Kissu, imetolewa leo, Jumatano, Mei 7, 2025 na Katibu wa Rais, Waziri Salum katika hafla ya chakula cha mchana kati ya Rais Samia na wanahabari walishiriki tuzo…

Read More

Puma Energy Tanzania yakabidhi zawadi shindano la uchoraji kampeni ya Usalama Barabarani Mashuleni

Hii inadhihirisha dhamira ya Puma Energy Tanzania ya kujenga mustakabali salama kupitia sera yetu ya Afya, Usalama, na Mazingira salama (HSSE). Tunapokaribia maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani duniani, kampeni hii inaonyesha azma yetu ya kulinda maisha katika jamii tunazozihudumia,” alisema Mhandisi Hiliyai. Katika vifo 31 kwa kila watu 100,000, WHO inaripoti kwamba…

Read More

Dabi ya Kariakoo yawaibua wabunge, wataka uwazi

Wabunge wameishukia Wizara ya Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo wakitaka itoe majibu ya kina katika mambo matatu likiwemo la kuifanya Bodi ya Ligi (TPLB) ijitegemee badala ya kuwa chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Mengine ni kutaka uwazi wa nini kinachoendelea kuhusu mazungumzo ya viongozi wa Timu za Simba na Yanga pamoja na…

Read More

Chadema yatoa kauli vigogo waliotangaza kuhama

Dar es Salaam. Saa chache baada ya waliokuwa wajumbe wa sekretarieti ya Chadema katika uongozi uliomaliza muda wake kutangaza kuondoka kwenye chama hicho, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema-Bara, Amani Golugwa amewajibu akisema wamepotoka huku akisisitiza hakuna pengo waliloliacha. Baadhi ya wajumbe hao waliotangaza kukihama chama hicho leo Jumatano, Mei 7, 2025 ni waliokuwa manaibu, Benson…

Read More