Baraza la Usalama lilihimiza kusimama kidete wakati Bosnia na Herzegovina wanakabiliwa na shida kubwa – maswala ya ulimwengu

Mwakilishi wa hali ya juu Christian Schmidt alielezea juu ya maendeleo ya hivi karibuni yanayozunguka utekelezaji wa Mkataba wa Mfumo Mkuu wa 1995 wa Amani huko Bosnia na Herzegovina, ambao ulimaliza zaidi ya miaka mitatu ya damu na mauaji ya kimbari kufuatia kutengana kwa Yugoslavia ya zamani. Accord, inayojulikana pia kama Mkataba wa Amani ya…

Read More

Mjue bosi mpya wa Tanesco, kibarua kinachomsubiri

Dar es Salaam. Huenda watu wengi wanahoji iwapo Lazaro Twange anaweza kumudu nafasi aliyopewa ya mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Hiyo ni kutokana na wengi kumfahamu baada ya kuhudumu kama mkuu wa wilaya mbalimbali ikiwemo Babati, Mkoa wa Manyara alipoanzia kabla ya kuhamishiwa Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye Ubungo, Dar es…

Read More

Mbunge aibana Serikali, idara ya uhamiaji kujenga zahanati Z’bar

Dodoma. Mbunge wa Dimani, Mustafa Mwinyikondo Rajab ameihoji idara ya uhamiaji ina mpango gani wa kujenga hospitali Zanzibar kama ilivyo kwa vyombo vingine vya ulinzi na usalama. Mbunge huyo amesema vyombo vingine vya ulinzi na usalama wamejenga zahanati na hospitali ambazo zinasaidia kutoa huduma ambazo hata wananchi wananufaika nazo, lakini uhamiaji hawajafanya hivyo. Akijibu swali…

Read More

Ajitosa kuwania urais ndani ya ACT-Wazalendo

Dar es Salaam. Joto la kuomba kuteuliwa kupeperusha bendera kwenye nafasi ya urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu 2025 kwa tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo limeendelea kupanda, baada ya Aaron Kalikawe kuchukua fomu ya kuomba ridhaa hiyo. Kalikawe anayetokea tawi la NHC, Bukoba Mjini, mkoani Kagera sasa anakuwa kada wa  pili akitanguliwa na kiongozi…

Read More

Sekretarieti ya Mbowe Yajiondoa Chadema, Wafunguka Mazito – Video – Global Publishers

Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Benson Kigaila Dar es Salaam — Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Benson Kigaila, ametangaza kujiondoa rasmi ndani ya chama hicho akidai kuwa kimepoteza mwelekeo na misingi ya demokrasia. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika…

Read More

Shigongo Aongoza Waombolezaji Kumuaga Kasango Mwizalubi, Buchosa- Video – Global Publishers

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo ameshiriki mazishi ya Kasango Mwizalubi aliyekuwa Balozi wa CCM katika Kijiji cha Itabagumba, Buchosa wilayani Sengerema. Akiwa kwenye msiba wa Mwizalubi ambaye pia alikuwa Mwenyeiti wa Kitongoji cha Mlumoni, Itabagumba, Shigongo amewakumbusha watu wote kuishi kwa upendo kwa sababu maisha ya duniani…

Read More