Bunge lapokea pongezi za Simba, Yanga katika viwango vya ubora
Serikali imezimwagia sifa klabu za Simba na Yanga kwa kuendelea kuiwakilisha nchi katika mashindano makubwa barani Afrika. Pongezi hizo zimetolewa na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi ambaye amesema juhudi za klabu hivyo zimewezesha ligi ya Tanzania kushika nafasi ya nne kwa ubora Afrika. Profesa Kabudi ametoa kauli hiyo Bungeni leo…