Fadlu avujisha za Orlando, Tshabalala naye kumekucha

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amefichua ujumbe alioupokea kutoka kwa mmoja wa maofisa wa juu wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini baada ya kufuzu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo imefuzu fainali mara ya kwanza tangu michuano hiyo ilipoasisiwa 2004 kwa kuunganishwa Kombe la CAF na la Washindi, na imepangwa kukutana na…

Read More

Wadau wa Sudan wamekimbilia Chad kama mapigano yanavyoongezeka – maswala ya ulimwengu

Karibu watu 20,000 – hasa wanawake na watoto waliofadhaika – wamefika Chad katika wiki mbili zilizopita, kulingana na Shirika la Wakimbizi la UN, Unchr. “Wengi walifika Chad bila chochote – hakuna chakula, pesa au kitambulisho, “ Alisema Magatte Guisse, UNHCR Mwakilishi katika Chad. “Watu kadhaa waliojeruhiwa, pamoja na watoto na wanawake wazee, waliripotiwa walianguka kutoka…

Read More

Rais Samia amteua Twange kuwa bosi mpya wa Tanesco

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Lazaro Twange kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Twange aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amechukua nafasi ya Gissima Nyamo-Hanga ambaye alifariki dunia usiku wa kuamkia Aprili 13, 2025 katika ajali ya gari iliyotolea wilayani Bunda, mkoani Mara. Bosi huyo mpya ana anachukua…

Read More

Wanahabari waeleza changamoto za tasnia, mradi wa kuwajengea uwezo ukizinduliwa

Dar es Salaam. Wanahabari wameeleza changamoto zinazoikabili tasnia hiyo katikati ya ulimwengu wa teknolojia na akili mnemba. Wamesema ukuaji wa teknolojia umesababisha uwepo wa habari nyingi feki, jambo ambalo linahitaji sapoti ili kukabiliana na changamoto hiyo ili kutoiweka jamii njia panda. Wakizungumza wakati wa uzinduzi wa programu maalumu ya kuwajengea uwezo wanahabari ili kuepuka kuingia…

Read More

Waziri Ulega apangua hoja za wabunge, bajeti yapitishwa

Dodoma. Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2025/26, huku Serikali ikisema katika kipindi cha miaka minne imelipa deni la makandarasi lenye thamani ya Sh2.5 trilioni. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema hayo leo Jumanne, Mei 6, 2025, wakati akijibu hoja za wabunge zilizotolewa wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi…

Read More