Barabara iliyokatika Ulanga yaanza kutengenezwa

Ulanga. Matengenezo ya barabara iliyokatika Mei 3, 2025, katika eneo la Ilagua wilayani Ulanga yameanza kufanywa na wahandisi kutoka Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroad), kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Khamana Simba. Akizungumza na Mwananchi leo Jumanne Mei 6, 2025, Simba amesema tangu kukatika kwa barabara hiyo, wasafiri waliokuwa wakielekea Ifakara, Malinyi na…

Read More

BDL yalamba udhamini wa Mil 639.5 wa betPawa

Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Kampuni maarufu ya michezo ya kubashiri, betPawa, imesaini mkataba wa mwaka mmoja a wenye thamani ya Sh 639,466,554 kwa Ligi ya Mpira wa Kikapu (BDL) ya mkoa wa Dar es Salaam. Huu ni udhamini wa kwanza na wa kihistoria katika mpira wa kikapu hapa nchini usainiwa jana ambapo mkuu…

Read More

IAA CHAWAPA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI WAFUNGWA

  ILI kuwapa ujuzi utakaowasaidia kuongeza kipato  na kujikwamua kiuchumi Chuo cha  Uhasibu Arusha (IAA) kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza nchini kimezindua programu ya mafunzo ya ujasiriamali na Stadi za Biashara kwa wafungwa nchini.  Akifungua programu hiyo leo Mei 06, 2025 katika gereza kuu Arusha, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza CGP Jeremiah Katungu…

Read More

Mdhamini jela miezi sita kwa kumtorosha mshtakiwa, atakiwa kulipa Sh5 milioni

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha miezi sita jela na kulipa bondi ya Sh5 milioni mdhamini Erick Mwasongwe, baada ya kushindwa kuhakikisha mshtakiwa aliyemdhamini anafika mahakamani kila tarehe ya kesi hiyo inapopangwa. Mwasongwe, aliyemdhamini Khalid Haji anayekabiliwa na shtaka la kujipatia fedha kwa udanganyifu na kujifanya ofisa usalama, amepewa adhabu…

Read More