Hatari zilizopo wanaozaa pacha zaidi ya watatu

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wameeleza hatari zilizopo kutunza watoto waliozaliwa pacha zaidi ya wawili, na changamoto wanazokutana nazo tangu kugawanyika kwa yai tumboni mwa mama, wakati na baada ya kuzaliwa. Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na mgawanyo wa chakula na damu wawapo tumboni, kuzaliwa kabla ya wakati, uzito mdogo, changamoto za mfumo…

Read More

Serikali kugeukia teknolojia kuharakisha matumizi nishati safi ya kupikia

Arusha. Serikali imeanza kuangalia teknolojia mbalimbali zinazoweza kupunguza gharama za matumizi ya nishati safi ya kupikia, ili kuharakisha utekelezaji na kufanikisha lengo la kuhakikisha asilimia 80 ya wananchi wanatumia nishati hiyo ifikapo mwaka 2034. Kupitia Mkakati wa Kitaifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia wa kipindi cha miaka 10 (2024–2034), takwimu za sasa zinaonyesha…

Read More

KONA YA MALOTO: Muda wa kuyatazama matukio haya ya utekaji kwa jicho la sayansi kali

Kabla ya Novemba 2016, Tanzania haikuwa na historia endelevu ya utekaji na upotevu wa raia. Yalikuwepo matukio machache, na matumaini ya wananchi yalikuwa kwa polisi. Ghafla, mwaka 2016 ukielekea ukingoni, hali ilibadilika. Tukio lilikuwa moja, yakafuata mengine. Miaka tisa baadaye, inakuwa mazoea, watu kupotea au kuuawa, kisha taifa linasahau. Ni miaka minane na miezi sita…

Read More

Kisa barabara, wabunge wambana Waziri Ulega

Dodoma. Mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2025/26 umejikita katika ujenzi wa barabara, huku baadhi ya wabunge wakionyesha hofu ya kurejea bungeni katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu. Hofu za wabunge hao zinatokana na kile walichoeleza kwamba iwapo baadhi ya barabara majimboni kwao hazitajengwa, watakuwa katika hatihati…

Read More

FCC KUJENGA UELEWA WA PAMOJA NA WAFANYABIASHARA

Na Mwandishi Wetu. Tume ya Ushindani (FCC),  imesisitiza umuhimu wa kujenga uelewa wa pamoja kati ya wadau wa biashara ili kuhakikisha utekelezaji bora wa sheria na kukuza biashara bila malalamiko.  Akizungumza kwenye semina imewakutanisha wadau mbalimbali, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani William Erio amesema kuwa ni muhimu kwa wadau, wakiwemo wale waliopo ndani na…

Read More

AGRA, GCF wazindua mradi wa kudhibiti upotevu wa mazao ya chakula

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma SERIKALI kwa kushirikiana na Shirika la Mapinduzi ya kijani Afrika (AGRA),pamoja na mfuko wa.mabadiliko ya tabia nchi (GCF),wamezindua rasmi mradi wa RE-GAIN ambao utasaidia kupunguza upotevu wa mazao ya chakula katika maeneo mbalimbali hapa nchini katika msimu wa mavuno. Mradi huo unatarajiwa kutekelezwa katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,mikoa…

Read More

MBUNGE MZAVA AHOJI UJENZI WA BARABARA 4 JIMBO LA KOROGWE VIJIJINI AITAKA WIZARA KUKAMILISHA KWA WAKATI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Bungeni -Dodoma Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mzava (CCM) ameiomba Wizara ya Ujenzi kuharakisha mchakato wa ujenzi wa barabara nne za Handeni- Kibrash – Kwamtoro, Tanga- Pangani- Makurunge, Soni- Bumbuli- Dindira -Korogwe na Old Korogwe – Magoma- Mashewa- Bombomtoni na Mabokweni kwani ni muhimu kiuchumi kwa wananchi wa Jimbo hilo. Akichangia…

Read More

AMREF TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA MKUNGA DUNIANI 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha (kushoto) akipewa maelezo katika banda la Amref Tanzania wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Anamringi Macha akizungumza na wananchi, wageni na wadau mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.Wananchi na wageni…

Read More