TARI SELIANI YAJA NA MKAKATI KUPAMBANA NA UDUMAVU NA UTAPIAMLO.

Wakulima wa mikoa ya Kanda ya Kaskazini wanaojishughulisha na kilimo cha maharage na mahindi wameshauriwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti, zenye wingi wa virutubisho ikiwemo madini ya chuma na zinki pamoja na vitamini A, kwa ajili ya kupambana na magonjwa mbalimbali yakiwemo utapiamlo, uoni hafifu pamoja na tatizo la udumavu ambalo limekuwa likiathiri asilimia kubwa…

Read More

MKUU WA MKOA KATAVI, MHE. MRINDOKO AZINDUWA MAADHIMISHO YA JUMA LA ELIMU (GAWE) 2025

    Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Juma la Elimu (GAWE) 2025, Mkuu wa Mkoa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko akizungumza alipokuwa akizinduwa rasmi maadhimisho hayo yanayofanyika kitaifa mkoani Katavi, halmashauri ya Mpimbwe. Mwenyekiti wa Mtandao wa Elimu Tanzania – Bi. Faraja Kotta Nyalandu akizungumza kwenye hafla ya Maadhimisho ya Juma la Elimu (GAWE) 2025, yanayofanyika…

Read More

Maswala ya gharama kubwa – masuala ya ulimwengu

Chanzo: OECD. Maoni na Joseph Chamie (Portland, USA) Jumanne, Mei 06, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PORTLAND, USA, Mei 06 (IPS) – Kwenye mambo muhimu ya maisha na kifo, Merika ni ya gharama kubwa. Kwa ufupi, wanawake na wanaume huko Merika wanalipa zaidi? kwa afya lakini kupata kidogo? maisha. Ingawa Merika ina gharama kubwa…

Read More

Mahakama yatoa amri tano kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,  imetoa amri tano ikiwamo kuridhia, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu apelekwe mahakamani hapo kwa ajili ya kusikiliza kesi yake ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa Youtube. Lissu ambaye yupo rumande Gereza la Ukonga, anakabiliwa mashitaka matatu ya kutoa taarifa za uongo, kinyume cha sheria. Amri…

Read More

JESHI LA MAGEREZA LAIPONGEZA( REA

:::::::: Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imepongezwa na Jeshi la Magereza kwa kuhamasisha, kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa taasisi zinazohudumia watu zaidi ya 100 hapa nchini. Hayo yemebainishwa na Mkuu wa Jeshi la Magereza mkoa wa Geita, ACP Jonam Mwakasagule wakati akizungumza na Bodi ya Nishati Vijijini (REB) mkoani Geita. ‘Sisi kama…

Read More

KONGAMANO LA KWANZA LA NISHATI SAFI YA KUPIKIA AFRIKA MASHARIKI LAFANYIKA ARUSHA

 :::::: Wadau mbalimbali kutoka Nchi za Afrika Mashariki wamekutana jijini Arusha katika Kongamano la kwanza Nishati Safi ya Kupikia la Afrika Mashariki linalolenga kujadili masuala mbalimbali yatakayowezesha Jumuiya hiyo kuondokana na matumizi ya Nishati isiyo safi ya kupikia na kwenda kwenye nishati safi ya kupikia. Akimwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt….

Read More

Polisi yaeleza kinachoendelea wanafunzi wa chuo waliomtaja Mwijaku wakitenda udhalilishaji

Dar es Salaam. Sakata la mabinti wanaodaiwa wanasoma vyuo wanaotuhumiwa kumdhalilisha mwanafunzi mwenzao wa Chuo Kikuu Cha Ardhi, Magnificat Barnabas Kimario bado pasua kichwa, baada ya Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kusema bado upelelezi wake haujakamilika. Tukio hilo lililovuta hisia hasi kwa jamii limemaliza wiki mbili sasa, tangu lilipoibuka mtandaoni usiku wa kuamkia…

Read More