Meridianbet Yaigusa Hospitali ya Palestina Sinza

IKIWA leo hii ni Jumamosi siku ya mwisho ya mwezi Mei, wakali wa ubashiri Meridianbet iliamua kufunga safari hadi hospitali ya Palestina Sinza kwaajili ya kutoa msaada kwa kina mama wanaojifungua. Katika tukio hilo la kugusa maisha, Meridianbet ilitoa pampers za watoto wachanga, mashuka mapya, na sanitizers kwa ajili ya kusaidia mazingira bora ya malezi…

Read More

Ni huzuni Msimbazi, Singida BS yaitoa Simba FA

SINGIDA Black Stars imefuzu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya leo Jumamosi Mei 31, 2025 kuifunga Simba mabao 3-1, katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Tanzanite kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara. Ushindi kwa Singida BS umeifanya kulipa kisasi baada ya kuchapwa mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara msimu huu,…

Read More

DC Iringa ataka njia mpya za daladala Iringa

Iringa. Katika kuhakikisha kuwa miundombinu ya usafirishaji inaboreshwa mkoani Iringa, Mkuu wa Wilaya ya Iringa Kheri James amekitaka Chama cha Wasafirishaji mkoani humo kuanza kubuni njia za safari kwenye barabara mpya zinazojengwa, ikiwemo barabara ya mchepuo kutoka Kihesa Kilolo hadi Igumbiro na ile ya Kalenga kuelekea Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.‎‎DC Kheri James ametoa agizo…

Read More

DKT. NCHEMBA AWAALIKA WAWEKEZAJI SGR

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Kusini (DBSA), Bi. Buitumelo Mosako, baada ya kukamilisha mazungumzo yao yaliyojikita kujadilki namna ya kuendeleza ushirikiano kati ya Tanzania na Benki hiyo, kando ya Mikutano ya Mwaka ya Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya…

Read More

PSG v Inter, beti kwenye fainali ya kusisimua ya UEFA

Tovuti bora ya kubashiri michezo 1xBet inawasilisha mechi ya uamuzi ya mashindano makuu ya vilabu barani Ulaya, itakayochezwa Mei 31. Fuata misingi ya kubashiri kwa kuwajibika, toa utabiri wako kupitia Linki hiki na shiriki ushindi pamoja na unayempenda! Paris Saint-Germain, mshirika rasmi wa 1xBet, wamejipanga kushinda taji lao la kwanza la Ligi ya Mabingwa. Mabingwa…

Read More