Mashambulio ya Drone ya Urusi kwa watu wa Ukrainians ni sawa na uhalifu dhidi ya ubinadamu, Ripoti ya Wachunguzi wa UN – Maswala ya Ulimwenguni

“Vikosi vya Silaha vya Urusi vimefanya uhalifu dhidi ya ubinadamu wa mauaji na uhalifu wa kivita wa kushambulia raia, kupitia a Mfano wa miezi mirefu ya mashambulio ya drone yanayolenga raia kwenye benki ya kulia ya Mto wa Dnipro katika Mkoa wa Kherson, ” Tume ya Uhuru ya Kimataifa ya Uchunguzi Kwenye Ukraine Alisema. Mashambulio…

Read More

Yanga yamleta Dar beki wa Mazembe

BEKI wa TP Mazembe ya DR Congo, Ibrahim Keita yupo njiani kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufanya mazungumzo na mabosi wa Yanga inayompigia hesabu kumsajili kwa kikosi cha msimu ujao. Yanga imeamua kumuita beki huyo Dar ili kufanya mazungumzo ya mwisho kabla ya kumpa mkataba wa kukiwasha katika kikosi hicho, ikielezwa ataziba…

Read More

Mjumbe wa juu wa UN anataka Israeli kumaliza mgomo mbaya, njaa ya raia – maswala ya ulimwengu

Sigrid Kaag, mratibu wa mpito wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, alisema kwamba shida iliyotengenezwa na mwanadamu huko Gaza imeingiza raia kuwa “kuzimu.” “Tangu kuanguka kwa kusitisha mapigano mnamo Machi, Raia wamekuwa chini ya moto kila wakati, wamefungwa kwa nafasi za kila wakati, na kunyimwa misaada ya kuokoa maisha“Alisema. “Israeli lazima…

Read More

RC CHALAMILA ATAKA MACHINGA KARIAKOO KUFUNGUA NJIA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametoa muda wa wiki mbili kwa uongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga eneo la kariakoo kuanza kufungua njia ili kuruhushu shughuli za kibiashara kufanyika kwa ufanisi wakati serikali ikielekea kufanya uzinduzi wa soko jipya la Kariakoo Akizungumza leo jijini Dar es Salaam na waandishi…

Read More

Timu za Msaada wa UN zinaomba ufikiaji huku kukiwa na ripoti za Gazans risasi kukusanya chakula – maswala ya ulimwengu

Matangazo yasiyothibitishwa kutoka kwa Rafah ambapo msingi wa kibinafsi lakini wa Israeli unaoungwa mkono na Jeshi la Kibinadamu ni msingi ulionyesha matukio ya hofu na umati wa watu wanaokimbilia pande tofauti, wakati wengine walichukua masanduku ya vifaa. Ofisi ya Haki za Binadamu ya UN, Ohchralisema kuwa imepokea habari kwamba angalau watu 47 walikuwa wameumizwa Jumanne…

Read More

Mashahidi waaanza kusikilizwa kesi ya rushwa ya aliyekuwa mkurugenzi Simanjiro

Simanjiro. Mashahidi wawili kwenye kesi ya rushwa inayomkabili aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Samwel Warioba Gunza wameanza kutoa ushahidi wao mahakamani. Warioba anashtakiwa kwa makosa mawili ya matumizi mabaya ya madaraka na kutotimiza wajibu wa kisheria ambao ni kinyume cha sheria. Akitoa ushahidi wake, Mei 28 mwaka 2025, mbele…

Read More

Viongozi wa dini watoa neno suluhu ya mashauri ya ndoa

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu ikija na mkakati wa kushughulikia mashauri ya ndoa kwa kutenga fungu kwa ajili hiyo, viongozi wa dini wameshauri nguvu ielekezwe kwenye kukabiliana na kiini cha changamoto hiyo. Mei 27,2025 akiwasilisha bajeti bungeni jana, Waziri Dk Dorothy Gwajima alisema wizara hiyo imeandaa…

Read More

Majiko banifu 626 yakabidhiwa Ruangwa

Ruangwa. Serikali ya Wilaya ya Ruangwa kupitia wadau mbalimbali wa maendeleo wametoa majiko ya gesi 626, pamoja na majiko banifu katika kuendeleza nishati safi ya kupikia. Akizungumza leo Jumatano Mei 28, 2025 baada ya kukabidhiwa jiko mkazi wa Ruangwa na mjasiriamali,  Salome Akida amesema kuwa majiko hayo yanasaidia kuokoa muda pamoja na kupika kwa urahisi….

Read More