Leseni 95 za madini hatarini kufutwa

Dar es Salaam. Huenda  kampuni 95 zikapoteza leseni zake za uchimbaji wa madini nchini ndani ya siku 7 zijazo ikiwa zitashindwa kujieleza kwa nini wasifutiwe leseni zao ndani ya siku 30. Kampuni hizo zilipewa hati ya makosa ambayo inazitaka kujibu hoja za kutofutiwa leseni Aprili 14 mwaka huu ambazo zinatarajiwa kufikia tamati Mei 13, 2025….

Read More

Wito kwa waamini kusali kuelekea uchaguzi wa Papa mpya

Vatican. Baraza la Makardinali katika mikutano elekezi kama sehemu ya maandalizi ya uchaguzi wa Papa mpya linawaalika watu wa Mungu, kukiishi kipindi hiki cha neema na utambuzi wa maisha ya kiroho na kusikiliza mapenzi ya Mungu. Uchaguzi wa Papa mpya unafanyika kesho Mei 7, 2025 kufuatia kifo cha Papa Francis kilichotokea Aprili 21. Katika andiko…

Read More

Mtihani alionao Momanyi Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, Mathew Tegisi Momanyi amesema ana kazi kubwa ya kufanya kuikabili safu ya ulinzi ya Simba, lakini jambo kubwa kwake ni kuhakikisha anatumia makosa ya wapinzani wao kutikisa nyavu. Momanyi ambaye anaongoza kwa mabao katika kikosi cha Pamba Jiji akifunga matano kwenye ligi msimu huu, kesho Alhamisi anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji…

Read More

Mtihani alionao Momanyi Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, Mathew Tegisi Momanyi amesema ana kazi kubwa ya kufanya kuikabili safu ya ulinzi ya Simba, lakini jambo kubwa kwake ni kuhakikisha anatumia makosa ya wapinzani wao kutikisa nyavu. Momanyi ambaye anaongoza kwa mabao katika kikosi cha Pamba Jiji akifunga matano kwenye ligi msimu huu, kesho Alhamisi anatarajiwa kuiongoza safu ya ushambuliaji…

Read More

GPS ilivyomfichua muuaji wa bodaboda, auhukumiwa kifo

Arusha. Licha ya Aivan Jackson, kuiba pikipiki wilayani Bagamoyo, Mkoa wa Pwani na kuisafirisha hadi mkoani Singida alikoiuza, hakuepuka mkono wa sheria baada ya kutiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua dereva bodaboda, Frank Antony, na kisha kuiba pikipiki yake. Mauaji hayo yalitokea Mei 5, 2023, katika Kijiji cha Kalabaka, eneo la Fukatosi…

Read More