WAZIRI MAVUNDE ATANGAZA KIAMA KWA KAMPUNI 95 ZA UCHIMBAJI MADINI
▪️Yatoa hati za makosa kwa kukiuka masharti ya Leseni ▪️Kampuni 7 tu kati ya 95 ambazo hazijaanza uchimbaji zimelaza mtaji wa Trilion 15 ▪️Zapewa siku 30 kujibu hoja SERIKALI imetoa Hati za Makosa kwa Kampuni 95 za Uchimbaji Mkubwa na wa Kati wa Madini kutokana na wamiliki wa leseni hizo kukiuka masharti ya Leseni kama…