Mambo 10 ACT Wazalendo ikitimiza miaka 11

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimetaja maeneo 10 inayojivunia nayo kinaposherekea miaka 11 tangu kuanzishwa kwake huku kikisisitiza Serikali kutopuuza dai la  Watanzania la uhitaji wa haki. Mbali na dai hilo, baadhi ya maeneo ambayo ACT Wazalendo imetaja kama mafanikio yake kwa miaka 11 ni kuongoza katika siasa za hoja, kujenga jukwaa mbadala…

Read More

DC Kasulu awataka madiwani kudhibiti uhamiaji haramu

Kasulu. Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaac Mwakisu, ametoa wito kwa madiwani wa Halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma, kuwachukulia hatua wale wote wanaohusika kuwahifadhi raia wa kigeni wanaoingia nchini bila kufuata taratibu za kisheria. Amesema vitendo hivyo vimechangia kuongezeka kwa matukio ya kihalifu, hususan katika baadhi ya vijiji na kata za halmashauri hiyo,…

Read More

Kesi ya uhaini ya Lissu yapigwa kalenda

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…

Read More

Kesi ya uhaini ya Lissu yapigwa kalenda hadi Mei 19

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelekeza upande wa mashitaka kukamilisha haraka upelelezi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Pia imeelekeza tarehe ijayo, upande wa mashitaka uje uieleze Mahakama hiyo upelelezi wa kesi hiyo umefikia hatua gani. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini,…

Read More

MBUNGE KIGUA ATAKA LAMI BARABARA INAYOUNGANISHA MIKOA MITANO

Na Janeth Raphael MichuziTv – Bungeni Dodoma MBUNGE wa Kilindi Omary Kigua (CCM) ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi kusimamia ujenzi wa barabara ya Handeni-Kibrash -Singida kwani ni muhimu kiuchumi na inaunganisha mikoa mitano. Akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi kwa Wizara ya ujenzi kwa mwaka wa fedha 2025-2026 bungeni,Kigua amesema yale ni…

Read More

Biashara United Kutoka michuano ya CAF hadi First League

BIASHARA United ni miongoni mwa timu zenye umaarufu hapa nchini kutokana na wasifu wake iliojitengenezea, huku ikikumbukwa zaidi msimu wa 2021-2022 iliposhiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo maarufu kwa jina la Wanajeshi wa Mpakani, ilipata nafasi ya kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumaliza nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi…

Read More

Mahakama yabadili gia kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetupilia mbali ombi la upande wa mashtaka la kutaka kesi ya kuchapisha taarifa za uongo inamkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kusikilizwa kwa njia ya mtandano na badala yake imekubalia na upande wa utetezi wa kutaka mshtakiwa huyo amepelekwa mahakama kusikiliza kesi yake. Uamuzi huo umetolewa leo…

Read More

Watu 17 wamenusurika kusombwa na maji mkoani Kilimanjaro

Moshi. Watu 17 wanaoishi Kata ya Kiboriloni, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kusombwa na mafuriko baada ya nyumba zao kuzingirwa na maji usiku wa kuamkia leo. Tukio hilo limetokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Mafuriko hayo yamesababishwa na kujaa kwa Mto Kisangiro kufuatia mvua kubwa zinazonyesha katika maeneo ya…

Read More

Watatu wafariki kwa kuangukiwa na nyumba Moshi

Moshi. Watu watatu, wakiwemo wawili wa familia moja, wamefariki dunia katika Kata ya Mbokomu, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, baada ya kuangukiwa na nyumba yao kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani humo. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo, Mei 6, 2025, ambapo waathirika walikuwa wamelala ndani ya nyumba hiyo wakati janga…

Read More