Mbinu mpya ya Polisi Kisutu

Dar es Salaam. Wakati kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu zikiendelea leo Jumanne, Machi 6, 2025, askari wa Jeshi la Polisi wametanda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na maeneo ya jirani. Kwa siku ya leo kwenye viunga vya Mahakama hiyo kunaonekana hakuna  hekaheka ikilinganishwa na Aprili 24 na Aprili 28, 2025, Jeshi la Polisi…

Read More

KESI YA LISSU: Mbinu mpya ya Polisi Kisutu

Dar es Salaam. Wakati kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu zikiendelea leo Jumanne, Machi 6, 2025, askari wa Jeshi la Polisi wametanda Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na maeneo ya jirani. Kwa siku ya leo kwenye viunga vya Mahakama hiyo kunaonekana hakuna  hekaheka ikilinganishwa na Aprili 24 na Aprili 28, 2025, Jeshi la Polisi…

Read More

Wafanyabiashara wanaotumia Bandari ya Karema hii inawahusu

Dodoma. Mbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe ameibana Serikali akitaka kujua ni lini itaanza ujenzi wa barabara Moba hadi Lubumbashi (DRC) ambayo amesema ni muhimu na tegemeo la wafanyabiashara. Sichalwe leo Jumanne Mei 6, 2025 amehoji akitaka kujua mkakati gani unafanyika kwa makusudi ili kuondoa usumbufu ambao umekuwa ukiwapata wafanyabiashara wanapopitia Zambia, akisema imekuwa ni…

Read More

New King yatanguliza mguu mmoja ZPL 

SHIRIKISHO la Soka Zanzibar(ZFF) limeanza kusaka timu nne zitakazopanda daraja  kucheza Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) msimu ujao, ili kichukua nafasi ya zile zitakazoshuka katika Ligi hiyo ya juu ngazi ya klabu visiwani humu. Hatua ya mtoano wa Ligi Daraja la Kwanza Kanda ya Unguja imeanza jana Jumatatu kwenye Uwanja wa Mao A, kwa kuzikutanisha  Sebleni…

Read More

JKU yaishusha daraja New City kutoka ZPL

NEW City imekuwa timu ya tatu kuaga rasmi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) baada kuchezea kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Maafande ya JKU katika mechi iliyopigwa jana Jumatatu usiku. Mechi hiyo iliyopigwa kuanzia saa 1:50 usiku ilichezwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja na ilihitimisha rasmi safari ya New City inayoungana na Inter Zanzibar…

Read More

Fei Toto aiwahi Dodoma Jiji

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi tatu za kumalizia msimu wa Ligi Kuu, lakini taarifa njema ni kwamba kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Feisal Salum ‘Fei Toto’ aliyekosekana katika mechi tatu zilizopita kutokana na kuwa majeruhi amerejea uwanjani na kuiwahi Dodoma Jiji. Azam imesalia mechi tatu dhidi ya Dodoma jiji iliyopangwa kupigwa Mei…

Read More