Pacome, Maxi washtua Yanga | Mwanaspoti

ACHANA na stori inayotrendi kwa sasa juu ya Yanga kugomea kucheza mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya watani zao, Simba, ikisisitiza tena kwamba haina mpango wa kucheza mechi hiyo hata kama itapangwa na Bodi ya Ligi, lakini kuna mambo mbalimbali yanayohusiana na mastaa wa timu hiyo. Tayari Yanga imeshakata tiketi ya kucheza Ligi ya…

Read More

Lissu, Jamhuri mshikemshike tena leo mahakamani

Dar es Salaam. Kesi mbili za jinai zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu (57), leo Jumane, Mei 6, 2025 tena zinatarajiwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam inayoketi Kisutu, katika hatua tofautitofauti. Lissu anakabiliwa na kesi mbili tofauti za jinai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

Wakuu wa shule wanavyowabania waliojifungua kurejea shule

Dar es Salaam. Tangu mwaka 2022, Serikali ilipoanza utekelezaji wa mwongozo wa kuwarejesha shuleni wanafunzi, wakiwamo waliopata ujauzito, imeshuhudiwa mabadiliko hasa katika maeneo ya haki ya elimu kwa wasichana. Mwongozo huu uliotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Februari, 2022 unakusudia kutoa fursa ya pili kwa wanafunzi waliokatishwa masomo kutokana na sababu mbalimbali kuendelea…

Read More

Mambo haya kukujenga kuwa mwanafunzi bora shuleni

Kuna msemo usemao: ‘’Walimu watakufungulia milango ila kuingia ndani ni hiari yako.” Walimu walikutengenezea njia ya kuendelea tangu ulipokuwa shule ya msingi.Kuendelea kuwa bora ni hiari yako siyo tena jukumu la walimu japo wana nafasi hiyo siku zote. Tutazame mwanafunzi bora ana sifa gani maana wanafunzi nao wana madaraja yao. Mosi, ni mwanafunzi mtafuta taarifa….

Read More

Mashambulio mabaya huko Sudani Kusini na Ukraine, Korti ya Ulimwengu inakataa kesi ya Sudan, misaada ya kuokoa maisha nchini Yemen – maswala ya ulimwengu

Kulingana na Ofisi ya Uratibu wa UN (Ocha), hospitali huko Old Fangak ilipigwa mapema Jumamosi, na kuwauwa raia saba na kujeruhi angalau 20 zaidi. Shambulio hilo pia liliharibu vifaa muhimu na kulazimisha kujiondoa kwa wafanyikazi wa misaada, na kuacha idadi ya watu bila kupata huduma muhimu. “Watu katika maeneo haya tayari wanapambana na mafuriko, uhaba…

Read More

Mashambulio ya Drone ya Sudan huongeza hofu kwa usalama wa raia na juhudi za misaada – maswala ya ulimwengu

“Mashambulio haya yanaonekana kuwa ya hivi karibuni katika safu ya shughuli za jeshi la kulipiza kisasiiliyofanywa na vikosi vya msaada wa haraka na vikosi vya jeshi la Sudan, kulenga viwanja vya ndege katika maeneo ya kila mmoja ya udhibiti, “msemaji wa naibu wa UN Farhan Haq aliwaambia waandishi wa habari huko New York Jumatatu. Mapigano…

Read More

NAIBU WAZIRI ATINGA TARAFA YA KATERERO KUKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI WA KEMONDO- MARUKU UNAOGHARIMU BILIONI 15.8.

Utanufaisha Kata 7, Kata mbili za Kemondo na Bujugo zimeanza kupata maji, Rais Samia apania kumtua Mama ndoo kichwani.  Naibu Waziri wa Maji Eng. Kundo Mathew amefika kwenye Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera kukagua mradi mkubwa wa Maji wa Kemondo- Maruku unaogharimu Bilioni 15.8 ukiwa kwenye Kata ya Kemondo huku chanzo chake cha…

Read More