Ugomvi, kujichukulia sheria mkononi kulivyopoka uhai wa watu 2024
Kwa mujibu wa polisi, mabadiliko ya kukua kwa teknolojia na maendeleo ya nchi vimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa matukio ya uhalifu nchini.
Kwa mujibu wa polisi, mabadiliko ya kukua kwa teknolojia na maendeleo ya nchi vimechangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa matukio ya uhalifu nchini.
Na Mwandishi Wetu MKUTANO mkubwa wa uwekezaji utakaowakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara mbalimbali kutoka nchi mbalimbali Afrika utafnyika, Pemba, Zanzibar kuanzia Juni 13 mpaka Juni 15 katika viwanja vya uwekezaji, Micheweni, Pemba mwaka huu. Awali mkutano huo ulipangwa kufanyika Mei 7 mwaka huu lakini waandaaji, Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imetangaza kuusogeza mbele mkutano huo…
Dar es Salaam. Misitu tisa kwenye mikoa mitano nchini itaboreshwa na mradi wa kuimarisha ustahimilivu wa Bioanuwai ya misitu ya mazingira asilia dhidi ya athari ya mabadiliko ya tabianchi. Misitu hiyo Pugu – Kazimzumbwi (Pwani), mlima Hanang (Manyara), Pindiro na Rondo (Lindi), Uzigua (Pwani na Tanga), Mwambesi (Ruvuma), Essimingor (Arusha), Hassam Hills (Manyara) na Nou…
Ulanga. Mvua za masika zinazoendelea kunyesha zimesababisha kukatika kwa barabara ya Ulanga -Malinyi baada ya mto Namuhanga kufurika na karavati lake kubwa kusombwa na maji eneo la Ilagua, hivyo kufanya barabara hiyo kushindwa kupitika kuanzia Mei 4 usiku hadi leo hii Mei 5, 2025. Barabara hiyo hadi sasa haipitiki na kufanya wananchi kuteseka na kutumia…
Mfanyakazi wa halo de-madini huchunguza kwa uangalifu migodi huko Ukraine. Mikopo: Tom Pilston/Halo na Ed Holt (Bratislava) Jumatatu, Mei 05, 2025 Huduma ya waandishi wa habari BRATISLAVA, Mei 05 (IPS) – Kama safu ya majimbo ya Ulaya yakitangaza kujiondoa kutoka kwa makubaliano ya kimataifa ya kupiga marufuku mabomu ya wahusika, wanaharakati wanaonya maisha mengi yanaweza…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Utoaji Tuzo Za Samia Kalamu Awards, leo tarehe 5 Mai, 2025. Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers…
Morogoro. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Damas Ndumbaro amesema kwa kipindi cha miezi minane, amewaachia huru jumla ya wafungwa 68 waliobainika kutenda makosa hayo wakiwa na changamoto ya afya ya akili. Waziri huyo ameyazungumza hayo leo Jumatatu Mei 5, 2025 wakati akifungua mafunzo maalumu ya siku tano kwa maofisa sheria wa Jeshi la Magereza,…
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt .Samia Suluhu Hassan akimkabidhi zawadi na cheti Mfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma kwenye sherehe za Mei Mosi zilizofanyika mjini Singida Mfanyakazi bora wa mwaka 2025 wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu Michael Lucas Weruma akionyesha cheti alichotunukiwa na TUCTA wakati…
Waziri Doroth Gwajima akiwasili Super Dome, Masaki inakofanyika event ya utoaji tuzo kwa waandishi wa habari za Samia Kalamu Awards. Tufuatilie kupitia YouTube ya Global TV, like, comment ili kuendelea kuhabarika kila siku kwa habari mbalimbali zenye ukweli na uhakika. Global…
Shinganya. Mwanzilishi wa huduma ya kujifungulia kwenye maji Taifa, mkunga mtaalamu Agnes Ndunguru ameeleza faida ambazo humsaidia mama anayejifungua kwenye maji pamoja na mtoto, wakati huduma hii inapotimiza miaka mitatu tangu kuanzishwa nchini. Akizungumza leo Jumatatu Mei 05, 2025 mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha katika maadhimisho ya siku ya wakunga duniani…