Mambo sita kuboresha sekta ya elimu
Katavi. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha juma la elimu, wadau wa elimu wamependekeza mambo kadhaa kufanyika kwenye sekta hiyo ikiwemo kuwekeza katika elimu inayolenga kujenga uwezo na stadi za maisha kwa vijana. Wadau hao ambao wamekusanyika katika Halmashauri ya Mpimbwe mkoani Katavi wakiadhimisha juma hilo wamesema Tanzania inahitaji mfumo wa elimu unaompa kijana…