Pamba Jiji yaja mjini kimkakati

PAMBA Jiji imeshacheza mechi nne za Ligi Kuu jijini Dar es Salaam bila kuonja ushindi, ilianza kutoka suluhu na Azam FC kabla ya kunyooshwa 4-0 na Yanga, kisha ikachezea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa KMC na kuibana JKT Tanzania kwa kutoka nayo pia sululu. Wababe hao wa zamani waliorejea katika Ligi Kuu msimu huu…

Read More

Aliyemtisha Padri Kitima siku chache kabla ya kushambuliwa akamatwa

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetangaza kumshikilia na kumuhoji, Dk Frey Edward Cosseny aliyemtisha kupitia mitandao ya kijamii, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima. Dk Cosseny aliandika ujumbe wa kumtisha Padri Kitima na siku mbili baadaye akashambuliwa. Ujumbe huo aliutoa Aprili 28, 2025 usiku ukisomeka: “Mwambieni…

Read More

Mkurugenzi Mkuu TCAA afungua Rasmi Kozi ya Pili ya Cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC) Katika Chuo cha CATC, Dar es Salaam

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amefungua rasmi kozi ya pili ya cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC Instructors Certification Phase Two Course) katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), kilichopo jijini Dar es Salaam. Kozi hiyo imewakutanisha washiriki 20 kutoka nchi 13 mbalimbali zikiwemo Tanzania,…

Read More

Pacome, Maxi wamaliza utata Yanga

KAMA kuna shabiki aliyekuwa akiamini Pacome Zouzoua na Maxi Nzengeli wanatimka Yanga kwa vile mikataba waliyonayo kwa sasa inamalizika mwisho wa msimu huu, basi pole yao. Pacome na Maxi waliosajiliwa msimu uliopita mikataba yao inaenda ukingoni na kulikuwa na tetesi kwamba mabosi wa Msimbazi walikuwa wakiwapigia hesabu ili kuhakikisha wanavuka mtaa kutua Simba, jambo lililowafanya…

Read More

TCAA Yafungua Rasmi Kozi ya Pili ya Cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC) Katika Chuo cha CATC, Dar es Salaam

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amefungua rasmi kozi ya pili ya cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC Instructors Certification Phase Two Course) katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), kilichopo jijini Dar es Salaam. Kozi hiyo imewakutanisha washiriki 20 kutoka nchi 13 mbalimbali zikiwemo Tanzania,…

Read More