Siha. Mbunge wa Siha mkoani Kilimanjaro, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ameibua gumzo wilayani humo, akituhumu kuhujumiwa ubunge wake huku
Month: May 2025

Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisisitiza msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi kwa madai ya kutaka mabadiliko, huko mkoani Mbeya maandalizi ya uchaguzi

UONGOZI wa Mbeya City umeanza hesabu za kuiwinda saini ya winga wa Yanga, Farid Mussa ili kuongeza nguvu ya timu hiyo kwa ajili ya msimu

Morogoro. Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa mikoa yenye mifugo mingi ambayo sifa yake kubwa ni kusababisha migogoro huku tija ya uzalishaji wa maziwa ikiwa

MSHAMBULIAJI wa kimataifa kutoka Uganda, Steven Mukwala, ameendelea kuonyesha thamani yake ndani ya Simba SC kwa kufunga bao pekee lililoiwezesha timu hiyo kuibuka na ushindi

Dodoma. Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa taarifa kuwa katika kipindi cha kuanzia Julai hadi Desemba 2024, fedha zinazotumwa na diaspora kuja Tanzania zimefikia Sh2.11

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu

Dodoma. Macho na masikio ya Watanzania kesho ni katika mkutano mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), utakaoweka wazi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika

MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imepokea kambi ya madaktari bingwa bobezi 49 kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa kwa wananchi katika halmashauri saba.