Ubunge wa Siha unavyomtesa Dk Mollel, awalalamikia Takukuru

Siha. Mbunge wa Siha mkoani Kilimanjaro, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Afya, Dk Godwin Mollel ameibua gumzo wilayani humo, akituhumu kuhujumiwa ubunge wake huku akivihusisha vyombo vya usalama ikiwemo Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), ambapo taasisi hiyo imejibu hoja hiyo. Siyo mara ya kwanza Dk Mollel kulalamika kuhujumiwa ubunge wake, mara…

Read More

Mikakati Chadema kusuka safu Mbeya, Mwabukusi atoa msimamo

Mbeya. Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikisisitiza msimamo wao wa kutoshiriki uchaguzi kwa madai ya kutaka mabadiliko, huko mkoani Mbeya maandalizi ya uchaguzi wa viongozi wa ndani katika majimbo mawili ya Mbeya Mjini na Uyole yameanza. Hivi karibuni Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilitangaza Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa kupata jipya…

Read More

Mbeya City yamnyatia nyota wa Yanga

UONGOZI wa Mbeya City umeanza hesabu za kuiwinda saini ya winga wa Yanga, Farid Mussa ili kuongeza nguvu ya timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, ikiwa ni katika harakati za kukisuka kikosi hicho ili kilete ushindani zaidi. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo zimeliambia Mwanaspoti, Farid ni miongoni mwa wachezaji…

Read More

Wananchi washauriwa kunywa maziwa siyo anasa, kiburudisho

Morogoro. Mkoa wa Morogoro ni miongoni mwa mikoa yenye mifugo mingi ambayo sifa yake kubwa ni kusababisha migogoro huku tija ya uzalishaji wa maziwa ikiwa ndogo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya teknolojia duni za ufugaji. Aidha wananchi wameshauriwa kuhakikisha wanakunywa maziwa kwani siyo anasa wala kiburudisho bali yana vitamini zote ndani yake. Hayo yamesemwa…

Read More

Pamba yaanza hesabu za msimu ujao

LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na maboresho ya kikosi chake. Pamba Jiji licha ya kukamata nafasi ya 12 katika msimamo ikiwa na alama 30 baada ya mechi 28, ikishinda…

Read More

Ilani ya CCM 2025/30 kuwekwa hadharani kesho

Dodoma. Macho na masikio ya Watanzania kesho ni katika mkutano mkuu maalumu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), utakaoweka wazi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, 2025. Mkutano huo umetanguliwa na vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya chama hicho vilivyofanyika jijini Dodoma kuanzia Mei 26  mwaka huu na kuhitimishwa leo…

Read More

Chama la Wana, Geita kumaliza ubishi

MECHI ya marudiano ya play-off kusaka tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, inapigwa leo ambapo wenyeji, Stand United ‘Chama la Wana’, itakuwa kwenye Uwanja wa Kambarage, mjini Shinyanga kumalizana na Geita Gold. Timu hizo zinakutana baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita kumlizika kwa sare ya mabao 2-2, hali…

Read More

Madakari bingwa 49 watua Mbeya

Mbeya. Serikali mkoani Mbeya imepokea kambi ya madaktari bingwa bobezi 49 kwa ajili ya   kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa kwa wananchi katika halmashauri saba. Ujio wa madaktari hao umetajwa kuleta suluhisho kwa wananchi wenye changamoto za magonjwa ukiwepo mfumo wa njia ya mkojo. Kambi hiyo imepokewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma…

Read More