Mbungi la fainali CAFCC kupigwa Kwa Mkapa, Mwana FA athibitisha
Zimebaki siku 20 tu kwa wakazi wa Dar es Salaam kuliona kombe la Shirikisho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Mei 25,2025 baada ya kuhakikishiwa na Serikali kuwa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika itachezwa katika uwwnja huo. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma ameondoa ombwe lililokuwepo juu…