Katika hali kama hii, wazazi wameachwa na jukumu kubwa na gumu zaidi la kulea watoto katika njia ya haki na kuwaepusha na maangamizi ya kimaadili,
Month: May 2025

Dodoma. Walimu waliohamishwa kutoka shule za sekondari na kupelekwa shule za msingi wanaidai Serikali Sh865.93 milioni na imeahidiwa italipa. Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya

Dar es Salaam. Wakati leo Jumatatu, Mei 5, 2025 wanafunzi wa kidato cha sita na ualimu wakianza mitihani yao ya Taifa Rais wa Tanzania, Samia

Wajumbe wa Tume ndogo juu ya Hali ya Wanawake, kutoka Lebanon, Poland, Denmark, Jamhuri ya Dominika na India, jitayarishe kwa mkutano wa waandishi wa habari

…………… _▪️Asema Rais Dkt. Samia ni alama ya ukuaji wa Sekta ya Madini_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa

:::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 05 Mei,2025 kushiriki vikao vya Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha

KAILIMA AWATAKA WANANCHI WAJITOKEZE KUHAKIKI, KUBORESHA TAARIFA ZAO Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Ndg. Ramadhani Kailima, akiwasaidia wananchi kuhakiki

Moshi. Katika hali ambayo haikutarajiwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, amejikuta katikati ya zomea

Tarehe 5 Mei 2025 Historia imeandikwa. NI rasmi kwamba Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mmiliki wa teknolojia ya uzalishaji wa viuadudu (biolarvicides),

Na. Brigitha Kimario- Serengeti HIFADHI ya Taifa ya Serengeti ambayo ni miongoni mwa Hifadhi zenye hadhi ya urithi wa Dunia tangu mwaka 1981 inatarajia kuwa