Walimu waliohamishwa kutoka sekondari kwenda msingi kulipwa

Dodoma. Walimu waliohamishwa kutoka shule za sekondari na kupelekwa shule za msingi wanaidai Serikali Sh865.93 milioni na imeahidiwa italipa. Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Zainabu Katimba amesema jumla ya fedha iliyohitajika kwa ajili ya uhamisho wa walimu kwenye mpango huo ilikuwa ni Sh2.08 bilionio ambapo…

Read More

Rais Samia awatakia kheri kidato cha sita

Dar es Salaam. Wakati leo Jumatatu, Mei 5, 2025 wanafunzi wa kidato cha sita na ualimu wakianza mitihani yao ya Taifa Rais  wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia heri. Mitihani hiyo kwa kidato cha sita itahitimishwa Mei 26, 2025 huku ile ya ualimu itamalizika Mei 19, 2025. Hii ni kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na…

Read More

TUMEDHAMIRIA KUWAINUA KIUCHUMI WACHIMBAJI WADOGO-MAJALIWA

…………… _▪️Asema Rais Dkt. Samia ni alama ya ukuaji wa Sekta ya Madini_ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeamua kuwekeza kwenye sekta ya madini ili kuwawezesha wachimbaji wadogo kupata kipato na kujikwamua kiuchumi. Amesema Serikali imenunua mitambo 15 ya kisasa ya…

Read More

ULEGA AWASILISHA BAJETI BUNGENI

:::: Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Jumatatu  tarehe 05 Mei,2025 kushiriki vikao vya Bunge la Bajeti kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo leo atawasilisha Mpango na makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2025/2026.  Waziri Ulega amefuatana na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Mhandisi,  Godfrey Kasekenya….

Read More