JKT Tanzania V Simba… Patachimbika

SIMBA inarudi tena uwanjani kuvaana na maafande wa JKT Tanzania. Hicho ni kiporo cha pili kwa Wekundu wa Msimbazi Ligi Kuu Bara baada ya Ijumaa iliyopita kuanza kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mashujaa, huku mechi ikiisha kwa matukio kadhaa yenye utata. Simba inayoshika nafasi ya pili na pointi 60, itakuwa wageni wa JKT…

Read More

Ni aibu! Madudu ya waamuzi yachefua wengi Ligi Kuu

WAKATI Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka nchini, ikisema imeanza uchunguzi kwa waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Mashujaa, iliyogeuka gumzo, wadau mbalimbali wa soka wakiwamo wachezaji wa zamani wameibuka na kusema kinachofanyika sasa ni aibu kwa soka la Tanzania. Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Nassor Hamduni alinukuliwa jana na Mwanaspoti wameanza uchunguzi wa…

Read More

TANZANIA KUMILIKI TEKNOLOJIA YA VIUATILIFU HAI KUTOKA CUBA

             ::::::::: TANZANIA na Cuba zimesaini mkataba wa kuhamisha teknolojia ya utengenzaji wa Viuatilifu Hai (Biolarvicides) kwa ajili ya kutokomeza ugonjwa wa malaria na wadudu waharibifu wa mazao ya kilimo. Mkataba huo umesainiwa baina ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kupitia Kampuni tanzu ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL)…

Read More

Moto, uvamizi watishia urithi wa dunia nchini

Serengeti. Majanga ya moto na uvamizi wa watu katika maeneo ya hifadhi za Taifa yameendelea kuwa tishio kwa maeneo ya urithi wa dunia na vituo vya urithi wa Taifa hapa nchini. Wataalamu wanataka hatua za haraka kuchukuliwa ili kuyalinda maeneo hayo dhidi ya uharibifu wa kudumu. Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Stephano Msumi…

Read More