TEC: Shambulio la Padri Kitima linagusa maeneo matatu
Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema shambulio dhidi ya Katibu wa Baraza hilo, Padri Charles Kitima, licha ya kumuumiza yeye, pia baraza hilo limeshambuliwa na heshima ya Taifa imejeruhiwa. Kauli hiyo imetolewa katika salamu za TEC zilizotolewa na Makamu wa Rais wa Baraza hilo, Askofu Eusebius Nzigilwa leo Jumapili Mei 4,…