Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 214
Habari

TEC: Shambulio la Padri Kitima linagusa maeneo matatu

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema shambulio dhidi ya Katibu wa Baraza hilo, Padri Charles Kitima, licha ya kumuumiza yeye, pia

Read More
Habari

KIDATO CHA SITA KUANZA MITIHANI KESHO, MAANDALIZI YAMEKAMILIKA

May 4, 2025 Admin

           :::::::::: HABARI Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha Sita na Ualimu inayotarajiwa kuanza Kesho

Read More
Habari

MBUNGE WA MSALALA AKABIDHI BAISKELI KWA WENYEVITI WA VIJIJI

May 4, 2025 Admin

Na Mwandishi Wetu, Malunde 1 blog Mbunge wa Jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, Mhe. Iddi Kassim, ametoa baiskeli 92 kwa wenyeviti wa vijiji vyote vya

Read More
Burudani

’Uchawa’ bomu linalosubiri kulipuka | Mwananchi

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ingawa vijana wamegeukia ‘uchawa’ kama njia ya kipato, wadau wametahadharisha tabia hiyo wakisema ni hatari kwa ufanisi wa viongozi, thamani ya elimu

Read More
Habari

Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu Mkuu wa TEC

May 4, 2025 Admin

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu

Read More
Habari

Mtoto mchanga atoweka nyumbani, polisi waanzisha uchunguzi

May 4, 2025 Admin

Mbeya.Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeanzisha uchunguzi kufuatia tukio la kutoweka kwa mtoto mchanga mwenye umri wa siku 10, lililotokea katika Kata ya Iyela,

Read More
Habari

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MILIONI.42.4 KIGOMA,WADAU WAHIMIZWA KUUNGA MKONO SERIKALI

May 4, 2025 Admin

OR- TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Zainabu Katimba amepokea Vifaa vyenye thamani ya shilingi

Read More
Habari

Mtihani kidato cha sita, ualimu kuanza kesho, Necta yatoa onyo

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Watahiniwa 134,390 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha sita kuanzia kesho Jumatatu, Mei 5 hadi Mei 26, 2025. Pia mtihani wa

Read More
Michezo

Selemani Bwenzi ageuka lulu sokoni

May 4, 2025 Admin

VIGOGO mbalimbali nchini wameanza kupiga hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji wa KenGold, Selemani Bwenzi kutokana na kiwango bora anachoonyesha akiitumikia timu hiyo, licha ya

Read More
Habari

Wanafunzi 522 Simanjiro kufanya mtihani wa kidato cha sita kesho

May 4, 2025 Admin

Simanjiro. Wanafunzi 522 wa kidato cha sita wa shule nne za sekondari wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu hiyo inayoanza

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 213 214 215 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.