Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limesema shambulio dhidi ya Katibu wa Baraza hilo, Padri Charles Kitima, licha ya kumuumiza yeye, pia
Month: May 2025

:::::::::: HABARI Baraza la Mitihani Tanzania NECTA limetangaza kuanza kwa mitihani ya kidato cha Sita na Ualimu inayotarajiwa kuanza Kesho

Na Mwandishi Wetu, Malunde 1 blog Mbunge wa Jimbo la Msalala mkoani Shinyanga, Mhe. Iddi Kassim, ametoa baiskeli 92 kwa wenyeviti wa vijiji vyote vya

Dar es Salaam. Ingawa vijana wamegeukia ‘uchawa’ kama njia ya kipato, wadau wametahadharisha tabia hiyo wakisema ni hatari kwa ufanisi wa viongozi, thamani ya elimu

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Serikali inalaani vikali na kukemea tukio la kushambuliwa na kuumizwa Katibu

Mbeya.Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeanzisha uchunguzi kufuatia tukio la kutoweka kwa mtoto mchanga mwenye umri wa siku 10, lililotokea katika Kata ya Iyela,

OR- TAMISEMI Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI Mhe. Zainabu Katimba amepokea Vifaa vyenye thamani ya shilingi

Dar es Salaam. Watahiniwa 134,390 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha sita kuanzia kesho Jumatatu, Mei 5 hadi Mei 26, 2025. Pia mtihani wa

VIGOGO mbalimbali nchini wameanza kupiga hesabu za kuinasa saini ya mshambuliaji wa KenGold, Selemani Bwenzi kutokana na kiwango bora anachoonyesha akiitumikia timu hiyo, licha ya

Simanjiro. Wanafunzi 522 wa kidato cha sita wa shule nne za sekondari wilayani Simanjiro Mkoa wa Manyara, wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu hiyo inayoanza