John Noble avunja ukimya ishu ya Fountain Gate

KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble amevunja ukimya akithibitisha ni kweli kwa sasa ameondoka ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kwenda kupumzika kwa wiki kadhaa, ingawa atarejea ili kujua hatima yake kama ataendelea kusalia au atavunja rasmi mkataba wake. Hatua ya kipa huyo kuondoka kikosini imejiri baada ya makosa mawili aliyofanya…

Read More

Fountain Princess yasaka tatu Mashujaa

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema wanahitaji kupata pointi tatu kwenye mechi ya leo dhidi ya Mashujaa Queens ili kuitafuta nafasi ya nne. Timu hiyo iko nafasi ya nane kwenye msimamo na katika mechi 14, imeshinda nne, sare mbili na kupoteza nane ikikusanya pointi 14. Ikipata ushindi kwenye mchezo huo, itasogea hadi…

Read More

Kasi ya kriketi yaipa kicheko TCA

CHAMA cha Kriketi Tanzania (TCA) kinaiona kesho ya ngavu katika mchezo huo kutokana na kasi ya ukuaji katika mikoa mingi ya Tanzania. Kasi hiyo ya kukuza vipaji imeonekana katika baadhi ya mikoa ya Pwani, Nyanda za Juu Kusini, Nyanda za Juu kaskazini, Kanda ya Kati na Kanda ya Ziwa kuanza kuzaa matunda na kuondoa ufalme…

Read More

Azam FC yashtukia kitu kwa Nizar

WAKATI ikielezwa kuwa, Yanga iko katika mazungumzo na nyota wa JKU, Abubakar Nizar Othman, mabosi wa Azam FC wameweka wazi nyota huyo ni mali yao na hauzwi, hivyo wanaomtaka wasahau kuhusiana na hilo na mwishoni wa msimu huu watamrudisha. Ipo Hivi. Mara baada ya mechi ya fainali ya Kombe la Muungano, iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

Mawaziri watatu kubanwa | Mwananchi

Dodoma. Mawaziri watatu wataingia katika mjadala wa wabunge kuhusu bajeti za wizara zao kwa mwaka 2025/26 huku hoja kubwa zikitarajiwa kujitokeza zikiwa ni madeni ya makandarasi kwenye miradi ya barabara na utekelezaji wa ahadi za viongozi. Wizara zitakazokutana na kiu ya wananchi kutaka majibu ya changamoto mbalimbali zinazowakabili ni ya Ujenzi inayoongozwa na Abdallah Ulega,…

Read More

Pointi 15 zamliza Omary Madenge

KITENDO cha Biashara United kupokwa pointi 15 na Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), kimemliza kocha wa kikosi hicho, Omary Madenge na kukiri ingekuwa ni miujiza kubakia Ligi ya Championship msimu ujao, licha ya juhudi kubwa zilizofanyika. Kikosi hicho kilichoshuka daraja msimu wa 2021-2022, kilikatwa pointi hizo kutokana na kushindwa kufika katika mchezo dhidi ya Mbeya…

Read More