Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 215
Habari

UCHAGUZI MKUU 2025: Sababu za Kunje kuitaka Ikulu, kuwatumikia Watanzania

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mgombea urais wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha AAFP, Kunje Ngombale-Mwiru amesema kiu ya Watanzania kuwa na maendeleo ya kubadilisha maisha

Read More
Michezo

John Noble avunja ukimya ishu ya Fountain Gate

May 4, 2025 Admin

KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble amevunja ukimya akithibitisha ni kweli kwa sasa ameondoka ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kwenda

Read More
Michezo

Fountain Princess yasaka tatu Mashujaa

May 4, 2025 Admin

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema wanahitaji kupata pointi tatu kwenye mechi ya leo dhidi ya Mashujaa Queens ili kuitafuta nafasi ya

Read More
Michezo

Kasi ya kriketi yaipa kicheko TCA

May 4, 2025 Admin

CHAMA cha Kriketi Tanzania (TCA) kinaiona kesho ya ngavu katika mchezo huo kutokana na kasi ya ukuaji katika mikoa mingi ya Tanzania. Kasi hiyo ya

Read More
Michezo

Azam FC yashtukia kitu kwa Nizar

May 4, 2025 Admin

WAKATI ikielezwa kuwa, Yanga iko katika mazungumzo na nyota wa JKU, Abubakar Nizar Othman, mabosi wa Azam FC wameweka wazi nyota huyo ni mali yao

Read More
Habari

Mawaziri watatu kubanwa | Mwananchi

May 4, 2025 Admin

Dodoma. Mawaziri watatu wataingia katika mjadala wa wabunge kuhusu bajeti za wizara zao kwa mwaka 2025/26 huku hoja kubwa zikitarajiwa kujitokeza zikiwa ni madeni ya

Read More
Habari

Zitto achukua fomu kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge Kigoma Mjini

May 4, 2025 Admin

Kigoma. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo Taifa, Zitto Kabwe amechukua  fomu ya kuomba ridhaa kwa chama chake kugombea ubunge Jimbo la Kigoma

Read More
Habari

Mganga aliyeshtakiwa kwa kusababisha vifo vya pacha aachiwa huru

May 4, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imemwachia huru mganga wa jadi, Zuwena Runigangwe aliyeshtakiwa kwa kusababisha vifo vya pacha, aliodaiwa kuwapa dawa yenye sumu, baada ya

Read More
Michezo

Pointi 15 zamliza Omary Madenge

May 4, 2025 Admin

KITENDO cha Biashara United kupokwa pointi 15 na Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), kimemliza kocha wa kikosi hicho, Omary Madenge na kukiri ingekuwa ni miujiza

Read More
Michezo

Mtanzania anyakua ndoo Misri

May 4, 2025 Admin

WINGA wa FC Macar, Mtanzania Hasnath Ubamba amebeba ubingwa wa Ligi ya Wanawake nchini Misri ukiwa wa pili mfululizo kwa nyota huyo.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 214 215 216 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.