Dar es Salaam. Mgombea urais wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha AAFP, Kunje Ngombale-Mwiru amesema kiu ya Watanzania kuwa na maendeleo ya kubadilisha maisha
Month: May 2025

KIPA wa Fountain Gate raia wa Nigeria, John Noble amevunja ukimya akithibitisha ni kweli kwa sasa ameondoka ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya kwenda

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema wanahitaji kupata pointi tatu kwenye mechi ya leo dhidi ya Mashujaa Queens ili kuitafuta nafasi ya

CHAMA cha Kriketi Tanzania (TCA) kinaiona kesho ya ngavu katika mchezo huo kutokana na kasi ya ukuaji katika mikoa mingi ya Tanzania. Kasi hiyo ya

WAKATI ikielezwa kuwa, Yanga iko katika mazungumzo na nyota wa JKU, Abubakar Nizar Othman, mabosi wa Azam FC wameweka wazi nyota huyo ni mali yao

Dodoma. Mawaziri watatu wataingia katika mjadala wa wabunge kuhusu bajeti za wizara zao kwa mwaka 2025/26 huku hoja kubwa zikitarajiwa kujitokeza zikiwa ni madeni ya

Kigoma. Kiongozi mstaafu wa Chama cha ACT – Wazalendo Taifa, Zitto Kabwe amechukua fomu ya kuomba ridhaa kwa chama chake kugombea ubunge Jimbo la Kigoma

Dar es Salaam. Mahakama Kuu imemwachia huru mganga wa jadi, Zuwena Runigangwe aliyeshtakiwa kwa kusababisha vifo vya pacha, aliodaiwa kuwapa dawa yenye sumu, baada ya

KITENDO cha Biashara United kupokwa pointi 15 na Bodi ya Ligi Kuu (TPLB), kimemliza kocha wa kikosi hicho, Omary Madenge na kukiri ingekuwa ni miujiza

WINGA wa FC Macar, Mtanzania Hasnath Ubamba amebeba ubingwa wa Ligi ya Wanawake nchini Misri ukiwa wa pili mfululizo kwa nyota huyo.