Kauli ya RC Kitwana yazua mjadala

Unguja. Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Kitwana kuwataka watendaji wa Serikali waliopo chini yake kuwasilisha kadi zao za mpigakura azikague, wadau wa uchaguzi wamesema hatua hiyo ni kuingilia majukumu ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC). Pia, wamesema inalenga kutoa vitisho na kuwapa hofu watumishi wa umma na kuwaelekeza nini…

Read More

Mkwawa Rally mtihani wa kwanza kwa Birdi

BINGWA wa mbio za magari mwaka 2024, Manveer Birdi anatarajiwa kuanza kwenye mashindano ya ufunguzi wa msimu ya Mkwawa Rally of Iringa, yanayotarajiwa kuchezwa mwezi Mei, mwaka huu, mkoani Iringa. Birdi alidhihirisha ubora wake katika mashindano ya raundi mbili ya rally Sprint, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kuibuka bingwa na sasa anakabiliwa na mtihani…

Read More

Talaka ni janga, dawa ni hii

Tunajua fika kwa uzoefu wetu na hata kwa utafiti, kuwa hakuna binadamu wala mwanandoa anayependa wala kushabikia talaka, hata kama baadhi ya dini na sheria vimeiridhia kutokea ikilazimu. Hivyo, katika kipengele hiki tutajadili talaka na madhara yake, hasa kwa wanandoa, familia, na jamii hata nchi kwa ujumla. Kwa vile siyo kila kitu kinaweza kutafsiriwa au…

Read More

Wanakimanumanu waitana Mkwakwani | Mwanaspoti

WAKATI African Sports ikiwa katika presha ya kushuka daraja, viongozi na benchi la ufundi wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mechi ya mwisho na Transit Camp, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, Mei 10. Ukiachana na Biashara United iliyoshuka daraja baada ya sare ya bao 1-1, dhidi ya Geita Gold, kwa sasa ni timu…

Read More

Kisinda ampa wakati mgumu Waziri JR Iraq

WAKATI Simon Msuva akiendelea kukiwasha Ligi Kuu ya Iraq akiwa na Al Talaba, Mtanzania mwenzake, Wazir Jr Shentembo anayekipiga Al Mina’a mambo yanaonekana ni magumu tangu alipojiunga na chama hilo. Msuva ambaye amefunga mabao 12 kwenye ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ amekuwa akipata nafasi ya kuanza kwenye kikosi hicho mara kwa mara wakati Wazir…

Read More

Unafahamu masaibu anayopitia mwanao na hakuambii wewe mzazi?

Kama sehemu ya wajibu wangu wa kitaaluma, huwa ninaandaa, kuendesha na kutathmini mafunzo ya ulinzi wa mtoto kwa walimu, wanafunzi na wazazi kwenye shule mbalimbali. Nimeendesha mafunzo hayo kwa shule nyingi, hususan za binafsi na zile zinazoendeshwa na mashirika binafsi na kidini. Hivi karibuni nilipata bahati hiyo kwenye shule kubwa inayoendeshwa na shirika la kitawa….

Read More

Pearl of Africa Prince Nyerere, Nasser watua kwa Museven

WATANZANIA Prince Charles Nyerere na Yassin Nasser wanatarajiwa kushiriki katika mbio za magari zitakazofanyika Mbarara, Uganda kusaka ubingwa wa Afrika, ikiwa ni mara ya kwanza kuchezwa  Magharibi mwa Uganda, karibu na eneo ambalo Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museven anatokea. Tayari madereva kutoka Rwanda, Kenya, Ethiopia, Tanzania na wenyeji Uganda wameanza kuwasili mjini Mbarara, kwa…

Read More