Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2025

  • Home
  • 2025
  • May
  • Page 217
Habari

Wanafunzi 100 walazwa baada ya kula chakula chenye nyoka

May 4, 2025 Admin

India. Zaidi ya wanafunzi 100 wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula kilichodaiwa kuwa na nyoka mfu mwishoni mwa juma, wakiwa shuleni nchini India. Kwa mujibu

Read More
Michezo

Masoud ana mawili Chama la Wana

May 4, 2025 Admin

BAADA ya Stand United ‘Chama la Wana’, kushindwa kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao moja kwa moja, kocha wa timu hiyo, Juma Masoud amesema kwa

Read More
Habari

Mume wangu kanifedhehesha, nidai talaka?

May 4, 2025 Admin

Anti habari za kazi, hongera kwa kujibu maswali yetu na kutupa ufafanuzi unaoponya. Leo nina changamoto ambayo nahisi itanipasua kifua. Mume wangu amenihisi nina uhusiano

Read More
Michezo

Samatta bado moja kurudi Ligi ya Mabingwa Ulaya

May 4, 2025 Admin

NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta anasubiri ushindi wa mechi moja ili kuweka rekodi ya kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

Read More
Habari

Madhara ya dhambi kwenye maisha yako

May 4, 2025 Admin

Bwana yesu asifiwe, naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania- Usharika wa Buza, Dar es Salaam. Nikukaribishe katika mahubiri ya siku

Read More
Habari

RC DODOMA AITAKA TANROADS KUTAFUTA NJIA MBADALA KWA WANANCHI WAKATI WA UJENZI WA DARAJA LA MORENA JIJINI DODOMA

May 4, 2025 Admin

Maelekezo yametolewa kwa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS)Mkoa wa Dodoma ambao unasimamia Mradi wa upanuzi wa daraja la Morena, kutafuta njia mbadala itakayotumiwa na wananchi

Read More
Habari

Unaogopa kumwambia mwenza ananuka kwapa, kinywa?

May 4, 2025 Admin

Umewahi kuwa kwenye uhusiano na mtu anayetoa harufu mbaya ya kinywa au mwili? Mara nyingi watu wanaokutana na adha hizo kwa wenza wao, hujikuta wakipitia

Read More
Habari

NMB YAPANIA KUIINUA TEHAMA UDOM

May 4, 2025 Admin

Mwandishi Wetu,Dodoma. BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) wametiliana saini Mkataba wa makubaliano (MoU) juu ya ushirikiano katika kukuza uwezo wa kiteknolojia

Read More
Michezo

Dakika 190 za Opah Clement Mexico

May 4, 2025 Admin

DAKIKA 190 alizocheza Mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement kwenye kikosi cha FC Juarez ya Mexico zimemfanya aendelee kuaminiwa na kocha wa timu hiyo, Oscar Fernandez.

Read More
Habari

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Chadema ni kama mmekanyaga mdudu sio bure

May 4, 2025 Admin

Huku mitaani kuna simulizi za watu kukanyaga mdudu na kisha kupotea njia nami nafananisha simulizi hii na namna chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinavyofanya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 216 217 218 … 242 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.