Wanafunzi 100 walazwa baada ya kula chakula chenye nyoka

India. Zaidi ya wanafunzi 100 wamelazwa hospitalini baada ya kula chakula kilichodaiwa kuwa na nyoka mfu mwishoni mwa juma, wakiwa shuleni nchini India. Kwa mujibu wa CBS News, Tume ya Haki za Kibinadamu ya India (NHRC) imesema inaendelea kuchunguza taarifa hiyo ingawa inaelezwa mpishi aliendelea kuwapatia chakula wanafunzi hata baada ya kumtoa nyoka huyo. Tukio…

Read More

Masoud ana mawili Chama la Wana

BAADA ya Stand United ‘Chama la Wana’, kushindwa kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao moja kwa moja, kocha wa timu hiyo, Juma Masoud amesema kwa sasa ana kazi kubwa ya kupambania maeneo mawili muhimu, beki na ushambuliaji. Sare ya Stand United ya bao 1-1, dhidi ya Polisi Tanzania, imeifanya timu hiyo kujihakikishia nafasi ya kucheza…

Read More

Mume wangu kanifedhehesha, nidai talaka?

Anti habari za kazi, hongera kwa kujibu maswali yetu na kutupa ufafanuzi unaoponya. Leo nina changamoto ambayo nahisi itanipasua kifua. Mume wangu amenihisi nina uhusiano na mwanamume, akamtafuta mke wa huyu bwana na kumueleza kuhusu hisia (kuwa natoka na huyo mwanamume kimapenzi) juu yangu. Kibaya zaidi huyo mwanamke bila kufanya uchunguzi kaamini na wakashirikiana kuja…

Read More

Samatta bado moja kurudi Ligi ya Mabingwa Ulaya

NAHODHA wa timu ya Taifa ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta anasubiri ushindi wa mechi moja ili kuweka rekodi ya kucheza michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili katika historia ya maisha yake ya soka. Chama la Samatta, PAOK linahitaji ushindi wa pointi tatu kwenye mechi mbili zilizosalia ili kushiriki michuano hiyo mikubwa na…

Read More

Madhara ya dhambi kwenye maisha yako

Bwana yesu asifiwe, naitwa Mwalimu George Mbwambo kutoka Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania- Usharika wa Buza, Dar es Salaam. Nikukaribishe katika mahubiri ya siku ya leo. 1 Yohana 3:4; Kila atendaye dhambi afanya uasi kwa kuwa dhambi ni uasi, unaposoma katika mistari hii unaona Biblia ikizungumzia kuwa dhambi ni uasi, yaani kwenda kinyume na…

Read More

RC DODOMA AITAKA TANROADS KUTAFUTA NJIA MBADALA KWA WANANCHI WAKATI WA UJENZI WA DARAJA LA MORENA JIJINI DODOMA

Maelekezo yametolewa kwa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS)Mkoa wa Dodoma ambao unasimamia Mradi wa upanuzi wa daraja la Morena, kutafuta njia mbadala itakayotumiwa na wananchi watakaohitaji huduma upande wa pili wa daraja baada ya barabara iliyokua ikiunganishwa na daraja hilo kufungwa kwa muda ili kupisha ujenzi. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ametoa…

Read More

Unaogopa kumwambia mwenza ananuka kwapa, kinywa?

Umewahi kuwa kwenye uhusiano na mtu anayetoa harufu mbaya ya kinywa au mwili? Mara nyingi watu wanaokutana na adha hizo kwa wenza wao, hujikuta wakipitia wakati mgumu, kwa kuogopa kusema wakihofia maneno yao yatachukuliwaje. Licha ya kuwepo kwa baadhi ya wanaovumilia harufu hizo, pia wapo ambao hufikia hatua ya kukimbia uhusiano wao kwa kuchoshwa na…

Read More

NMB YAPANIA KUIINUA TEHAMA UDOM

Mwandishi Wetu,Dodoma. BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) wametiliana saini Mkataba wa makubaliano (MoU) juu ya ushirikiano katika kukuza uwezo wa kiteknolojia na Tehama kwa lengo la kushirikiana katika kukuza bunifu.  Mkataba huo unalenga kukuza uwezo wa Watanzania katika masuala ya kitehama lakini pia kuendelea kuchochea mabadiliko makubwa ya kidigitali yanayohusiana na…

Read More

Dakika 190 za Opah Clement Mexico

DAKIKA 190 alizocheza Mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement kwenye kikosi cha FC Juarez ya Mexico zimemfanya aendelee kuaminiwa na kocha wa timu hiyo, Oscar Fernandez. Opah alijiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo hivi karibuni akitokea Henan Jianye ya China alikocheza msimu mmoja. Tangu atambulishwe kikosini hapo Februari mwaka huu, amekuwa akipata…

Read More