Chamou atibua hesabu Simba | Mwanaspoti

KAMA utani hivi, beki wa kati Simba, Chamou Karaboue amebadili uamuzi wa mabosi wa klabu hiyo kutokana na kiwango chake, huku kocha wa kikosi hicho, Fadlu Davids akisema amefanikiwa kuwapa changamoto Che Malone Fondoh na Abdulrazack Hamza. Muivory Coast huyo ambaye alitua Simba msimu huu, alikuwa hana mwanzo mzuri kutokana na Che Malone na Hamza…

Read More

Mlandege yaizima Mwembe Makumbi Ligi Kuu Zanzibar

VINARA wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), Mwembe Makumbi imekumbana na kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Mlandege katika pambano kali lililopigwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Katika pambano la duru la kwanza  timu hizo zilishindwa kutambiana kwa kufungana mabao 2-2 kwenye Uwanja wa New Amaan na leo ikiwa moja ya mechi za raundi…

Read More

Mapya mafuta yanayodaiwa kuwababua ngozi wakazi Yombo Dovya

Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania(TBS), limetoa ripoti ya mafuta yanayodaiwa kuwadhuru wakazi wa Yombo Dovya zaidi ya 200 na kueleza kuwa yalikuwa na kemikali. Tukio hilo liliripotiwa kwa mara ya mwanzoni mwa Januari, 2025 ambapo wananchi walisema walipata athari za kiafya baada ya kutumia chakula kilichoandaliwa kwa kutumia mafuta hayo, waliyodai wameyanunua kwa…

Read More

Aina 10 Za Wanawake Wanaopendwa Na Wanaume – Global Publishers

KARIBU jamvini mdau, ni siku nyingine tunakutana tena hapa kupeana elimu ya uhusiano wa kimapenzi na maisha kwa jumla. Nimekwishaeleza mara kadhaa kwamba wote tumezaliwa tukiwa safi kabisa. Mambo mengine hujitokeza huko katikati kadiri tunavyokua na malezi tunayoyapata. Leo kwenye ukurasa huu nitakudadavulia aina kumi (10) za wanawake wenye tabia fulanifulani ambao ndiyo hupendwa zaidi…

Read More

BALAA! Tishio jipya afya za mastaa Ligi Kuu bara

LIGI Kuu Bara ipo ukingoni kabla ya kufikia tamati, huku zikiwa zimeshapigwa mechi 210 ikiwamo iliyochezwa jana jioni kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam kati ya wenyeji Simba na Mashujaa kutoka Kigoma. Wakati ligi hiyo msimu huu ikiwa ukingoni, rekodi zinaonyesha zimeshapigwa mechi 35 mchana wa jua kali, huku timu 13 kati ya…

Read More

Yanga yafuata kocha Sauzi, kuhusu Hamdi iko hivi!

WAKATI kukiwa na taarifa kwamba Yanga ina mpango wa kuwa na benchi jipya la ufundi kwa msimu ujao, taarifa zinadai kuwa mabosi wa timu hiyo wameshaanza harakati za kusaka mbadala wa Kocha Miloud Hamdi. Katika kumpata mbadala wa Hamdi, imeelezwa kuwa mabosi wa Yanga wametua Afrika Kusini kwa ajili ya kufanya mazungumzo na kocha Jose…

Read More

MNUFAIKA UKIHITIMU MASOMO, LIPA MKOPO WAKO KWA WAKATI

:::::::::: Na Dk. Reubeni Lumbagala  SERIKALI kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inawajibika kupokea maombi ya mikopo na kutoa mikopo kwa waombaji waliokidhi vigezo vilivyowekwa. Bodi ya Mikopo ambayo sasa imetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, hadi Februari 2025, HESLB inajivunia kutoa takribani shilingi trilioni 8.2 kwa waombaji…

Read More