Serikali yamalizia mchakato kuifanya NEMC kuwa mamlaka
Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya kisheria ili kulibadilisha Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka kamili itakayokuwa na nguvu zaidi katika kushughulikia changamoto mbalimbali za mazingira nchini Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi, Mei 3, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa…