Serikali yamalizia mchakato kuifanya NEMC kuwa mamlaka

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya kisheria ili kulibadilisha Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka kamili itakayokuwa na nguvu zaidi katika kushughulikia changamoto mbalimbali za mazingira nchini Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi, Mei 3, 2025 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa…

Read More

Hapi aishauri TK Movements kuanza uzalishaji

Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amewashauri Mtandao wa Vijana wa Taifa Letu Kesho Yetu (TK Movements) kuungana na kuchangishana ili kuanzisha miradi itakayowawezesha kupata kipato na kukuza uchumi wao. Mtandao huo ulizinduliwa Mei 25, 2024 na Naibu Spika wa Bunge, Musa Zungu, ambaye aliwasihi vijana kujiandikisha katika daftari la…

Read More

NIDA YAKAMATA MTUHUMIWA WA KUTENGEZA VITAMBULISHO FEKI VYA TAIFA

:::::; Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja anayesadikiwa kujihusisha na utengenezaji na usambazaji wa vitambulisho feki vya Taifa kwa malipo ya kati ya shilingi 6,000 hadi 10,000. Akizungumza na waandishi wahabari Leo Jijini Dar es Salaam Msemaji Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano NIDA Geofrey Tengeneza amesema mtuhumiwa, Danford Mathius, mkazi…

Read More

Chadema waandamana kwa RPC, wamsaka Mdude porini

Mbeya. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa kupotea kwa mwanaharakati na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, viongozi na wafuasi wa chama hicho Mkoa wa Mbeya wameanzisha jitihada za kumtafuta katika maeneo ya porini. Msako huo umeanza baada ya viongozi sita wa Chadema, wakiwa na wafuasi 58, kuandamana leo mchana, Jumamosi, Mei 3, 2025,…

Read More