Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na mchakato wa kufanya mabadiliko ya kisheria ili kulibadilisha Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)
Month: May 2025

Moshi. Taasisi ya utafiti wa Kahawa nchini (TaCRI) imegundua aina mpya tatu za kahawa aina ya Arabika yenye uwezo wa kuvumilia hali ya ukame, ikiwa

Dodoma. Wadau wa sekta ya kilimo nchini, wakiwemo wabunge, wakulima na taasisi zisizo za kiserikali, wametoa wito kwa Serikali kuongeza uwekezaji katika kilimo ikolojia, wakisisitiza

Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Ally Hapi, amewashauri Mtandao wa Vijana wa Taifa Letu Kesho Yetu (TK Movements) kuungana na kuchangishana

Na John Mapepele Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewataka vijana kutumia michezo kama sehemu ya kuhamasisha amani na utulivu katika kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2025, huku

RWEBANGIRA AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KWENYE DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Magdalena K.Rwebangira ametoa wito kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya kujitokea na kufika kwenye vituo vya kujiandikisha

:::::; Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imefanikiwa kumtia mbaroni mtu mmoja anayesadikiwa kujihusisha na utengenezaji na usambazaji wa vitambulisho feki vya Taifa kwa malipo

Mbeya. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi wa kupotea kwa mwanaharakati na kada wa Chadema, Mdude Nyagali, viongozi na wafuasi wa chama hicho Mkoa

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema mkutano wa kwanza wa kimataifa wa masuala ya habari, filamu na