SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA VETA WILAYA ZOTE
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe profesa Adolf Mkenda amesema serikali inaendelea na ujenzi wa vyuo vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Wilaya 64 nchini. Waziri Mkenda amesema hayo Jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dodoma kuhusu mafanikio ya serikali ya awamu ya sita katika kipindi…