Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe profesa Adolf Mkenda amesema serikali inaendelea na ujenzi wa vyuo vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Month: May 2025

Kulingana na Sasisho la hali ya hewa ya kila mwaka kwa hali ya hewasayari inabiriwa kupata joto kati ya 1.2 ° C na 1.9 °

SINGIDA Black Stars imeanza harakati za mapema za kumuongeza mkataba mpya, kiungo Morice Chukwu, huku Mnigeria huyo akiwagomea mabosi hao, licha ya kuahidiwa donge nono.

Dar es Salaam. Baada ya miaka minne ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mfumo wa ununuzi wa umeme kwa kutumia mashine za Luku, inaripotiwa
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BOT), imeandaa semina ya pamoja uliyowakutanisha wataalamu

Dar es Salaam. Profesa Mohamed Janabi, ameapishwa rasmi kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika, huku akiahidi kuboresha afya za watu

Na Mwandishi Wetu, Manyara MAADHIMISHO ya wakulima wa NOURISH yaliochukua wiki nne kwa nyakati tofauti katika halmashauri za wilaya 10 Tanzania, yamefikia tamati katika Wilaya

Dodoma. Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameonya wabunge wanapochangia bungeni wasivunje kanuni, Katiba na sheria licha ya kuwepo kwa uhuru wa kujieleza. Spika ametoa

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM

UNGUJA: STRAIKA wa Mlandege na nyota wa timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Abdallah Idd ‘Pina’ ameweka rekodi Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) wakati msimu